Polisi kuingia na silaha benki inategemea na mazingira, hawez kumwachia silaha yake mwenzake wakat wapo wawil tu lindoni, na ukiangalia siku hizi hali sio nzuri sana silaha zinaporwa sana. Na pia sio watu wote wanaoingia benk ni wazuri, may be anapo ingia ingia na kutoka anakuwa anaepusha kitu...
Hao polisi wameiva kijeshi mkuu.,,wametumia mazingira ya tukio vizuri, cha msingi hapo Hakuna ushahidi wa kilichotokea zaidi ya story tu. Askari wa kibongo ukiogopa cheo chake tu na yeye ndo anazid kukuonea mnyonge. Big up polisi
Siku zote tunaambiwa jiheshimu utaheshimiwa. Naamini huyo nyota mbili alitaka kuleta ubabe wa kijeshi kwa masela(polisi) wakati yupo peke ake. Amesahau polisi wenyewe wa siku hiz wamepinda kinoma yani.
Pia ana uwezo wa kusimama kwa kutumia mkia wake, anaweza kupanda mti Kwa kujinyoosha kwenda juu had kufikia tawi lililo karibu, yan inabaki sehem ndogo tu inayobeba mwili wake kabla hajafkia tawi analotaka kupanda.
Kwa anaetaka kufuga ajiandae.;bundi anakula sana vitu kind ya nyama nyama kama vile panya, chura, nyoka wadogo wadogo na hata ndege wenzie. Ana kucha na mdomo mkali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.