Achana na hizo mambo ndugu....wewe bdo kijana mdogo,kama angekubali kumuacha ubaki nae ningesema lea mtoto mpe mapenzi ya baba kwa maana amjuae baba wa mtoto ni mama ...alienda alipo toka,akawa amekata mawasiliano na leo hii amerudi kwako lakini amekataa kumuacha toto kwako maana yake wewe ni...
Sio Mchezaji Vs Imani yake.... Imani ipo ndani ya mchezaji lwahiyo hapo ni mchezaji Vs Wavuruga imani na wavuruga imani ndio hao wanao mlipa mshahara kwa maana kama kumekuja sharti la kuvaa au kukosa mshahara basi ni wazi wenye kupalilia ushoga ndio haohao wenye kulipa pesa(mshahara)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.