Tatizo ni la wahudumu pia,unafika unakaza foleni ..halafu Kuna mtu unaona kabisa amechelewa ila kwa sababu ya kujuana na mhudumu anavuka foleni moja kwa Moja kwa mhudumu napokelewa na bado mhudumu sio mtu wa kuchangamka labda awashawishi kupunguza foleni ....ninyi wengine foleni inabaki imenasia....
Achana na hizo mambo ndugu....wewe bdo kijana mdogo,kama angekubali kumuacha ubaki nae ningesema lea mtoto mpe mapenzi ya baba kwa maana amjuae baba wa mtoto ni mama ...alienda alipo toka,akawa amekata mawasiliano na leo hii amerudi kwako lakini amekataa kumuacha toto kwako maana yake wewe ni...
Sio Mchezaji Vs Imani yake.... Imani ipo ndani ya mchezaji lwahiyo hapo ni mchezaji Vs Wavuruga imani na wavuruga imani ndio hao wanao mlipa mshahara kwa maana kama kumekuja sharti la kuvaa au kukosa mshahara basi ni wazi wenye kupalilia ushoga ndio haohao wenye kulipa pesa(mshahara)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.