- Thread starter
- #21
Ikiwa ni ndugu yako si ninakuwa shemeji yako mkuu?Hatukujui, hatumjui, tukupe mbinu, what if ni ndugu yangu!?
Mwenye dada hakosi shemeji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa ni ndugu yako si ninakuwa shemeji yako mkuu?Hatukujui, hatumjui, tukupe mbinu, what if ni ndugu yangu!?
Kizuri kula na nduguyo mkuuNnaweza nikatoa ushauri halafu kumbe mdada mwenyewe nami niko kwenye harakati naye.....
Wewe huwa unapendaje Evelyn?Possible umemkata stimu kumtongoza, I hate kutongozwa especially part ya "sasa jibu langu vipi" aaah mmaeeh
Haahaaaaahaaa.....we jamaa fix sana hukupanga kumuoa wala nini! Na kaishakushtua hupati tamuu!Ninampenda. Lakini kwa mikato yake, nahisi tutasumbuana mbeleni kwenye ndoa.
So, nimebadilisha gia hewani...nataka tu nile halafu nisepe
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kuwa na shemeji domo zege.Ikiwa ni ndugu yako si ninakuwa shemeji yako mkuu?
Mwenye dada hakosi shemeji
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujikute tu kishanichinja, naona manyoya yaleeee....sio ooh sasa nakupenda vikaenda vikarudi sasa naomba jibu yani hadi nyg huwa zinayeyuka nikiambiwa hivo
Nawaelewa sana ...Tujikute tu kishanichinja, naona manyoya yaleeee....sio ooh sasa nakupenda vikaenda vikarudi sasa naomba jibu yani hadi nyg huwa zinayeyuka nikiambiwa hivo
Mnulie gariWakuu,
Mimi nimepanga hapa Dar. Kuna mwanamke naye anakaa Nyumba hii hii niliyopanga (anakaa na ndugu zake)
Huwa tunawasiliana almost kila siku kwa simu, na juzi kati nilimnunulia vizawadi toka supermarket(ili kuzidi kuweka ukaribu) na alipokea vizuri kabisa.
Jana nilimtoa out for Dinner na katika mazungumzo nikachomekea mtongozo.
Hakuonyesha ushirikiano sana, na akasema hawezi kunipa jibu kwa wakati huo. Jibu lake hilo liliniweka out of mood kichizi.
So naona kama mbinu niliyotumia (Plan A) haijazaa matunda niliyotegemea Coz nahitaji kumla huyu mtoto fasta.
Kwa hiyo wakuu, hebu Nipeni Technics na maujuzi nimn'goe huyu mtoto mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wanaume wenzangu mnanishangaza. Pado mnatumia hizi fomula "zilipendwa". In short mwanamke akishakuona kama rafiki, imekula kwako na kutoka kwenye friendzone ni sawa na ujitose kuandamana. Friend zone is hell of a place. Ulitakiwa by day 3 uwe umeua.Wakuu,
Mimi nimepanga hapa Dar. Kuna mwanamke naye anakaa Nyumba hii hii niliyopanga (anakaa na ndugu zake)
Huwa tunawasiliana almost kila siku kwa simu, na juzi kati nilimnunulia vizawadi toka supermarket(ili kuzidi kuweka ukaribu) na alipokea vizuri kabisa.
Jana nilimtoa out for Dinner na katika mazungumzo nikachomekea mtongozo.
Hakuonyesha ushirikiano sana, na akasema hawezi kunipa jibu kwa wakati huo. Jibu lake hilo liliniweka out of mood kichizi.
So naona kama mbinu niliyotumia (Plan A) haijazaa matunda niliyotegemea Coz nahitaji kumla huyu mtoto fasta.
Kwa hiyo wakuu, hebu Nipeni Technics na maujuzi nimn'goe huyu mtoto mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
this goes to all men out there, piga sound the first day hapa unajihakikishia hatakuona Kama Kaka wala rafiki, atakuona mwindaji unaetaka kuteka moyo wake. Which is a plus. Siku zote usikosee kuingia na gear ya kirafiki, kutoka ngumu. Ingia na gear ya kuwa unamtaka early on! Full stop. Okay so since ulishamess up, Ghost nipo kuclean up your mess.
. Anyway ukiskip hizo steps mbili juu ukaenda straight hapa, 50/50. Sijajua uhusiano wenu vizuri. Unaweza kifunguliwa mshtaka umebaka or unaweza kujipatia jiko. Seriously sijawahi kuona wanaofunguliwa mashtaka wengi huzingua mwanzo ila later unakuta ni couple. But kiukweli sishauri. Okay okay, lemme cut the talk. Step no 3
; ukimsalimia jenge tabia ya kumshika mikono. Then later uongeze uanze kumkumbatia ukiondoka. Ukipiga nae story mchekeshe, the during the process mshike mkono au kiunoni. Believe me it works 

I am the evil guy here, najua it works cause sijawahi pata negative response.
. Nilishawahi kumtoa dada mmoja kunywa coffee na joto la Dar after that kiliwaka! Date mtreat kama mtu wako tayari, be romantic, hakikisha mtu asiewajua ajue nyie wapenzi. Seriously hapa hamnaga mwanamke atakae kataa kutreatiwa hivyo. Believe me. During the date be funny. Kuna post zangu za muda humu, zicheki, utajifunza vitu viwili vitatu jinsi ya kuwa siku hii. All in all make it short nusu saa au lisaa. Then toka nae, nunu kitu CHAKO then mwambie mwende nyumbani (hapa imagination yako, ila Mimi natumia hii), mwambie unapeleka mara moja then you leave. Akiingia bhasi hapa ukitoka bila lipstick kuchafua nguo yako umeshindikana kwenye karne hii. Either way akiingia get back to step three, now sio umshike mkono tuu, Shika paja!!!! Okay acha niache kuongea you get it, make smart but big moves. Believe me hapa umepata tayari.
We mwite ghetto akusaidie kitu ....mambo ya mitongozo waachie watoto wa form two
Sent using Jamii Forums mobile app


Anataka kuongeza namba ya single mothers.