Habarini umu ndani, nimatumaini yangu muwazima wa afya.
Naomba nijuzwe je ikiwa marehemu ameacha watoto wawili na baada ya msiba ikafahamika alikuwaga na mtoto mwengne alieza nje ya ndoa, je mtoto uyo wa nje ya ndoa ataesabika katika kurithi?
Uliza wenzako wa inclussive forex kyelele kishawaisha kama wewe unataka uwekeze kanunue hisa za kihalali izo kampuni ni za kipigaji sikushauri sema kama umekula sportpesa au mbet au premier bet kawekezee coz ata ukipigwa autaumia kama ni ela umeangaikia kwa jasho sikushauriiii...
habarini humu ndani? ningependa kufahamu au kupewa maelezo kwa yeyote atayokuwa nayo, kuhusiana na akaunti za udom kutokufunguka na kuambiwa tumekosea passowrd ilihali password azjakosewa and pia selection za diploma apo apo udom na zipataje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.