Recent content by Omari Mayallah

  1. O

    BBC: Jumuia ya Afrika Mashariki mashakani, Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waunda umoja wao!

    Jf ingekuwa na watu kumi wenye uelewa wako bila shaka ingefaa iitwe the home of great thinkers... Vijana wengi wanaleta mboyoyo hata katika maswala ya ueledi... get yo heads busy. Msisubiri kukopi na kupest kauli za Lema.
  2. O

    Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

    Of course who iz nyerere was he JESUS...? Haya ma mtu yamezoea kuabudu watu yalithubutu kusema wakati wa kampeni eti dr slaa ni kama nabii MUSSA.., mengine yakasema eti ni zaidi ya nabii Mussa eti slaa ni chaguo la Mungu.
  3. O

    Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

    Of course who iz nyerere was he JESUS...? Haya ma mtu yamezoea kuabudu watu yalithubutu kusema wakati wa kampeni eti dr slaa ni kama nabii MUSSA.., mengine yakasema eti ni zaidi ya nabii Mussa eti slaa ni chaguo la Mungu.
  4. O

    Wabunge (CHADEMA): Chama kwanza utaifa baadae

    Tumia akili zako vizuri wewe au ndo form4 wa 2012 nini. Chadema wakifanya mikutano yao bila kuathiri mahudhurio yao bungeni hakuna anaekosoa. Lini wabunge wa ccm walikacha bunge kisa maswala ya chama. Kwani kuwa chadema mpaka uwe mburura? Mnaniboa sana mnapo kuwa norrow minded.
  5. O

    Mwenyekiti wa CCM Kilosa ala Kichapo hadi kulazwa na adai ni wafuasi wa CHADEMA

    We ukiwashwa unakunwa na mbowe au lema au ndo kila mwenye gwanda shuuli unayo.
  6. O

    Mwenyekiti wa CCM Kilosa ala Kichapo hadi kulazwa na adai ni wafuasi wa CHADEMA

    Chadema ni ma-bogus kweli kweli. Mtu akiongea kwa kuwaunga mkono mnakubali bila kufikiri akiongea tofauti mnapinga bila kuchunguza. Mavichwa yenu ni kama housing ya cm isiyo na saketi ndani.
  7. O

    Ramadan in 2013 will start on Tuesday, the 9th of July

    Utakuwa ulisilimu akhui... maana waislamu wazawa hatupendi kusoma ndo maana tunaleta mkanganyiko ktk dini. Unacho sema ni kweli Allah akulipe.
  8. O

    Arusha - Mahakama ya kimataifa ya ICC imeahirisha KESI DHIDI YA RAIS KENYATTA

    Thats true... bt ICC does according to the will of fund risers.
  9. O

    Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

    Chadema hamueleweka si mnahitaji raisi strong... mr white ndo anawafaa.
  10. O

    Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

    Hao green guard alikubaliana nao wasimpige usoni... wamempiga mgongoni tu. Kama amepigwa bila shaka walompiga ni gwanda guard.
  11. O

    CHADEMA haiwezi kushindana na serikali kwa namna hii; Iitishe mgomo wa Kitaifa!

    Ujue tunatatizo la kuhukumu nambo kwa kutumia nyoyo kuliko bongo... CUF walipigwa, waliteswa, walifungwa na kuuwawa wengi kwa idadi ambayo CDM hawajafika hata 1% ya idadi ilo fikia. Tuliwaona ni wazanzibari., hatukuchukulia kivile. Ni vema tuwe wakweli... chadema ndo chama kilicho na wafuasi...
  12. O

    Aina ipi ya sabufa ni nzuri

    Sabufa aina ya CHADEMA ndiyo inayopiga makelele yabkutosha.
  13. O

    Polisi wamtaka Mbowe athibitishe Polisi walivyohusika katika mauwaji ya Arusha, la sivyo...

    Jf ni home of great thinkers... hivi polisi ingelikuwa hawaruhusiwi kupiga risasi hizo bunduki wamepewa za nini... wangebebeshwa matoi basi. Askari akifyatua risasi hewani wewe huogopi unajiita kamanda., badala yake unamshambulia unataka afanyeje. Ni vyema kwanza yukaanza kulitii jeshi la...
  14. O

    Polisi wamtaka Mbowe athibitishe Polisi walivyohusika katika mauwaji ya Arusha, la sivyo...

    Tatizo la chadema wamejaa usanii sometimes... wako busy na mambo ya ccm na serikali kuliko kutekeleza wajibu wao. Walianzisha mifuko ya majimbo kwa ajili ya kusaidia vijana ktka masuala ya elimu, uchumi na mambo kama hayo. Badala yake wamegeuka kwa busy na mambo ya kitaifa ambako hawana...
Back
Top Bottom