Recent content by Omari Bakari77

  1. O

    Natafuta mfanyakazi wa stationary ( Dar )

    Yupo tena mzoefu sana tuu kama ni kweli ni pm plz!!
  2. O

    Huyu anaweza kwenda ualimu?

    Acha hofu ukisikiliza ya watu utashindwa kufanya yako!! Ualimu kwa sasa wanachukua 1-3 kwa ngaz ya diploma! Chakufanya unaweza kusubiri vyuo vya utumishi wa umma na vingine ving tuu anaweza kusoma!! Asiogope kila kitu kinawezekana!! Pia asiache kuangalia NACTE wakitoa matangazo yao na vigezo...
  3. O

    NAFASI ZA KAZI: Ualimu wa Chuo

    Vigezo ni vipi Ili mtu aweze kuja uko?
  4. O

    Vyuo vya Ufundi, Taarifa Muhimu kwa wanaopenda kujiunga

    Ok ahsante!! Computer engineering nao wanachukua ukiwa na certificate ya it!!??
  5. O

    Vyuo vya Ufundi, Taarifa Muhimu kwa wanaopenda kujiunga

    Dip in information technology qualification zake ziko vp?
  6. O

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Na hii kozi ukitoka unapata ajira moja kwa moja au? Na ina diploma yake na kama haina unaweza kuendelea na koz gn ngaz ya diploma? Ahsante!!
  7. O

    84% ya wahitimu kidato cha nne wamepata F kwenye hesabu

    Na hapa inawezekana akata Chuo cha serikali?
  8. O

    84% ya wahitimu kidato cha nne wamepata F kwenye hesabu

    Dah!! Mdogo wangu amepata C ya biology D-Chemistry D-English D-Kiswahili D-Civics The rest amepata F Nisaidieni huyu anaweza kusoma nn? Kwa matokeo yake haya!!
  9. O

    84% ya wahitimu kidato cha nne wamepata F kwenye hesabu

    Kweli kabisa yani mtu anaogopa kitu kabla hajakiona na jamii pia inamlaghai kwa maneno yanayokatisha tamaa, kiukweli mwanafunzi wa aina kufaulu itakuwa ngumu sana hata angekuwa anajielewa vp.
  10. O

    84% ya wahitimu kidato cha nne wamepata F kwenye hesabu

    Tatizo la kufeli kwa hesabu inawezekana lisiwe la serikal wala walimu, ni tatizo la cc wanafunz wenyewe, ebu chukulia mfano wakati unakua mamaako anakwambia babako hatujali,hatusikilizi wala haeleweki, kwa sababu we ni mtt unaweza ukayachukua hayo maneno kama yalivyo na ukamchukia baba yako bila...
Back
Top Bottom