NAFASI ZA KAZI: Ualimu wa Chuo

NAFASI ZA KAZI: Ualimu wa Chuo

Gideerast

Member
Joined
Jun 27, 2015
Posts
56
Reaction score
3
MKuu was Chuo Cha Eden Hills College kilichopo Kibaha maeneo ya Msufini Mlandizi, ninatangaza nafasi za kazi za Ualimu wa ngazi za Diploma na Certificate kwa kozi Journalism and Mass Communication, Information Communication Technology (ICT), na Education (Primary and Early Child Hood Teaching).

Waombaji wawe na Bachelor Degree, Diploma au Zaidi
Tafadhali wasiliana na MKuu wa Chuo kwa simu namba 0789343435.
 
MKuu was Chuo Cha Eden Hills College kilichopo Kibaha maeneo ya Msufini Mlandizi, ninatangaza nafasi za kazi za Ualimu wa ngazi za Diploma na Certificate kwa kozi Journalism and Mass Communication, Information Communication Technology (ICT), na Education (Primary and Early Child Hood Teaching).

Waombaji wawe na Bachelor Degree, Diploma au Zaidi
Tafadhali wasiliana na MKuu wa Chuo kwa simu namba 0789343435.
Vigezo ni vipi Ili mtu aweze kuja uko?
 
Nina diploma in secondary education je naweza pata nafasi
 
Back
Top Bottom