Recent content by omarhad

  1. O

    Long shot goals of all time

    Incredible https://shrinke.me/cKnKZEN
  2. O

    Guinea yakumbwa na mlipuko mpya wa Ebola, wanne wafariki dunia

    Ebola imeanza kuuwa tena watu huko Guinea,mwaka 2013/2014 ilianzia Guinea na kusambaa mataifa jirani...tuweni makini...Corana imeambatana na Ebola,sasa tujiadhari mara mbili zaidi
  3. O

    Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

    Hizi pesa ni za mkopo,pesa imetoka zamani kwa kipande cha Moro to makutopora mpk sasa tupo Moro,unadhani pesa inatumika wapi? Pesa mtutuki hajapewa au kapewa? Nani anayo? Pesa hii inatakiwa ilipwe tena kea riba baada ya miaka 20. Sie tunapoteza muda tunaona miaka 20 ni mingi sana.. shauri zetu...
  4. O

    JamiiForums Usiku wa manane

    0325 hrs
  5. O

    Dalili za mvua ni mawingu: Mradi wa SGR hautakamilika wote ndani ya utawala wa Magufuli

    Pesa tulizokopeshwa km mradi ungeisha ndani ya miaka mitatu ingetubidi tulipe Lila siku milioni zisizopungua elfu Moja na zaidi Lila siku kea miaka 17 mfululizo,sasa km muda wa kulipa deni tunaangaikia kutengeneza,hiko kiasi ya pesa hatutaweza kulipa kea wakati na hapo ndo utasikia mradi amepewa...
  6. O

    Naomba kufahamishwa taratibu za vibali vya Kuingiza ndege(bird) au mayai ya ndege

    Kuna rafiki zangu wengi wanawafuga america na UK, hawawasumbui ni friendly ila pia kuna some cases ambapo wafugaji wamejeruhiwa,hawana uwezo wa kuuwa,ni wadogo kwa mbuni,teke lake linakuumiza km utakorofishana nae ila hawezi kukuuwa.
  7. O

    Naomba kufahamishwa taratibu za vibali vya Kuingiza ndege(bird) au mayai ya ndege

    Watu wa wanyama pori nimewatafuta ila wanasema subiria tunafuatilia ila Kuna mwingine amesema wao hawahusiki
  8. O

    Naomba kufahamishwa taratibu za vibali vya Kuingiza ndege(bird) au mayai ya ndege

    Hawa hawana ukorofi ni wapole ,mbuni ni mkali zaidi watu wengi naona wanawafuga na wapo friendly sana ,ingawaje pia wapo wakorofi.. mie nawapenda wananivutia nikiwaangalia
  9. O

    Naomba kufahamishwa taratibu za vibali vya Kuingiza ndege(bird) au mayai ya ndege

    Ndo mana nataka kujua mapemaaa nifuate taratibu zote
  10. O

    Naomba kufahamishwa taratibu za vibali vya Kuingiza ndege(bird) au mayai ya ndege

    Ni ndege wa kufuga nyumbani,km walivyo bata mzinga
  11. O

    Naomba kufahamishwa taratibu za vibali vya Kuingiza ndege(bird) au mayai ya ndege

    Naomba msaada wa kujua taratibu za Kuingiza nchini ndege(bird) au mayai ya ndege(eggs). Nione lipi nitakuwa nafuu kwangu. Ni ndege ya kufugwa nyumbani wanaitwa Emu.(domesticated birds) Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu Mbarikiwe sana
Back
Top Bottom