Ebola imeanza kuuwa tena watu huko Guinea,mwaka 2013/2014 ilianzia Guinea na kusambaa mataifa jirani...tuweni makini...Corana imeambatana na Ebola,sasa tujiadhari mara mbili zaidi
Hizi pesa ni za mkopo,pesa imetoka zamani kwa kipande cha Moro to makutopora mpk sasa tupo Moro,unadhani pesa inatumika wapi? Pesa mtutuki hajapewa au kapewa? Nani anayo? Pesa hii inatakiwa ilipwe tena kea riba baada ya miaka 20. Sie tunapoteza muda tunaona miaka 20 ni mingi sana.. shauri zetu...
Pesa tulizokopeshwa km mradi ungeisha ndani ya miaka mitatu ingetubidi tulipe Lila siku milioni zisizopungua elfu Moja na zaidi Lila siku kea miaka 17 mfululizo,sasa km muda wa kulipa deni tunaangaikia kutengeneza,hiko kiasi ya pesa hatutaweza kulipa kea wakati na hapo ndo utasikia mradi amepewa...
Kuna rafiki zangu wengi wanawafuga america na UK, hawawasumbui ni friendly ila pia kuna some cases ambapo wafugaji wamejeruhiwa,hawana uwezo wa kuuwa,ni wadogo kwa mbuni,teke lake linakuumiza km utakorofishana nae ila hawezi kukuuwa.
Hawa hawana ukorofi ni wapole ,mbuni ni mkali zaidi watu wengi naona wanawafuga na wapo friendly sana ,ingawaje pia wapo wakorofi.. mie nawapenda wananivutia nikiwaangalia
Naomba msaada wa kujua taratibu za Kuingiza nchini ndege(bird) au mayai ya ndege(eggs). Nione lipi nitakuwa nafuu kwangu.
Ni ndege ya kufugwa nyumbani wanaitwa Emu.(domesticated birds)
Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
Mbarikiwe sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.