Recent content by oltukai

  1. O

    The world needs Donald Trump

    yes my point ni kwamba anaweza kuiwakilisha chama ila asiweze kupata full support kutoka kwa wakubwa wake wa chama
  2. O

    The world needs Donald Trump

    Huoni anapopata upinzani kutoka kwa wakubwa wa repulblican itakuwa ngumu kushinda kwenye general election hata akipita kwenye chama??
  3. O

    Matumizi ya braces (Waya wa kurekebisha mpangilio wa meno)

    Hallo. Ningependa kujua ni umri gani wa mwisho kutumia braces (waya wa kurekebisha mpangilio wa meno)? Je, kuna alternative ya hiyo? Asante.
  4. O

    Mabadiliko hasa ni nini?

    Kwa muda sasa tumekuwa tukiwasikiliza wanasiasa nchini wakisema wanahitaji mabadiliko,haikuishia hapo tu hata wananchi wenyewe wamekuwa wakisikika wakisema wanahitaji mabadiliko. Je,mabadiliko ni nini hasa? yanaanzia kwa nani? ni jukumu la nani kuleta hayo mabadiliko? ni mabadiliko ya aina gani...
  5. O

    From trafficking victim to electrician

    It's challenging for a girl to pursue a career as an electrician in Uganda. But it's even harder if she's also leaving behind seven years spent as a victim of child sex trafficking. That was the situation Jacqueline, now 18, had found herself in. The youngest girl she worked alongside was just...
  6. O

    Mgeni

    Nipo mwaka Wa mwisho .Ambayo Ni yr 13 sawa na form six kwa upande Wa NECTA
  7. O

    Mgeni

    Habari za Leo wakuu. Mimi ninaitwa Loth Oltukai. Ni mwanafunzi katika shule ya kimataifa ya Isamilo School Mwanza. Nifuraha yangu kuweza kuwa mmoja Wa jamii hii. Naipenda Sana nchi yangu na ningependa kuwa mmoja Wa watu Wa kuleta mabadiliko
  8. O

    Kujiuzulu kwa Ngeleja ndio suluhu ya mgao wa umeme?

    ndio ni kigezo ili atoe nafasi achunguzwe na kama bosi wake ndoo sababu basi atjieleza mbele ya safari
Back
Top Bottom