Ni kweli nilifanya kazi na boss muhindi ....alikuwa ananifanya kama house girl wake.....na kazi ni ya kusomea.japokuwa walikuwa wananilipa nilijihisi kunyanyasika sana, niliandika resignation letter within 24 hrs.
Kweli kabisa ....mtu anapita written interview kwenye oral anakutana na maswali matano....alimaliza chuo miaka mitano na zaidi iliyopita, kwenye interview anapewa swali la kumention point 5 ambazo kama alitoka darasani mda mrefu alishasahau.atleast wangekuwa wanauliza maswali ya uelewa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.