Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

Ndiyo, unaandikiwa not selected for oral interview kwenye app sio website..jaribu kuangalia kwenye app yako
Mimi Bado inasoma Selected for Oral interview. Labda mpaka wamalize selection. Si Bado kama nafasi 400.
 
Mimi Bado inasoma Selected for Oral interview. Labda mpaka wamalize selection. Si Bado kama nafasi 400.
Utapata but Kuna mtu kaniambia Bado kama nafasi mia tatu na something mpaka sasa
 
Nimeona ndugu....mimi pia bado.nimeanza kupata Hofu jamani
Kuna PDF lingne limetoka kaangalie

Huu mwaka wa CDO's hongeren sanaa..

Naona wengne wamelamba asali Wizara ya maendeleo ya jamii wanawake na makundi maalum.
 
Mmmh.. Bado tunasubiria Mungu tunaomba subira na hekima katika kusubiri. Nimevinjika Moyo kabisa.
Tupo wengi tunasubiri ndugu yangu tuendelee tu kumuomba Mungu nasi atukumbuke
 
Tupo wengi tunasubiri ndugu yangu tuendelee tu kumuomba Mungu nasi atukumbuke
Mungu atatukumbuka tu.. baba zetu wengine mpaka wamekufa hawajayaona matunda ya elimu walizotoa jasho na damu kugharimia.. angalau wapumzike kwa Amani huko waliko washuhudie hata wakati huu na sisi tukifanikiwa kupata ajira japo za uzeeni.
Mungu atusaidie.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mungu atatukumbuka tu.. baba zetu wengine mpaka wamekufa hawajayaona matunda ya elimu walizotoa jasho na damu kugharimia.. angalau wapumzike kwa Amani huko waliko washuhudie hata wakati huu na sisi tukifanikiwa kupata ajira japo za uzeeni.
Mungu atusaidie.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Vipi mkuu umeitwa?
 
Utapata but Kuna mtu kaniambia Bado kama nafasi mia tatu na something mpaka sasa
mpaka leo tarehe 09.10.2023 kwenye nafasi 800 walizo tangaza, bado nafasi 277 za watu kuitwa kazini. kila lakheri mliofika oral, ila kama sio leo basi zamu yako ni kesho, kikubwa mtabaki kwenye data base.
 
mpaka leo tarehe 09.10.2023 kwenye nafasi 800 walizo tangaza, bado nafasi 277 za watu kuitwa kazini. kila lakheri mliofika oral, ila kama sio leo basi zamu yako ni kesho, kikubwa mtabaki kwenye data base.
Duh so sad
 
Back
Top Bottom