Hizo walizoitwa inasemekana waliofanya interview siku za nyuma mwezi wa nne huko ndio hao. Wa Mwezi wa Saba Bado.Mbona wameanza kuita
Ilitoka pdf moja majuzi hapa ikiwa na cdos 26 tu
Hapana mbn yupo nnaemfahamu tulifanya nae interview na ameitwa, tulikua nae kwny usaili mwezi wa7Hizo walizoitwa inasemekana waliofanya interview siku za nyuma mwezi wa nne huko ndio hao. Wa Mwezi wa Saba Bado.
Mwenye kujua zaidi atusaidie.
Mungu awatie nguvu kusubiri! Kuna post zingine walifanya usaili february, walikuwa wanatakiwa 100 lakini hadi sasa hawajaitwa wote!! Wameita takriban 90. Sasa nyomi ya 800 inaweza kwenda mdogo mdogo hadi mwishoni mwa 2024! Cha maana App & Web Status BOTH should read: Selected for ORAL Interview (but also not a guarantee)!!. Pia ongezeni RECEIVED, hakuna kulala hadi kieleweke, na Mungu ni mwaminifu!!Ila kuita 26 kati ya post800 aloooooh mbn tutasubiri sana na hapo mtu hujui kama ulifaulu au hukufaulu
Kumbe status zina maana?Mungu awatie nguvu kusubiri! Kuna post zingine walifanya usaili february, walikuwa wanatakiwa 100 lakini hadi sasa hawajaitwa wote!! Wameita takriban 90. Sasa nyomi ya 800 inaweza kwenda mdogo mdogo hadi mwishoni mwa 2024! Cha maana App & Web Status BOTH should read: Selected for ORAL Interview (but also not a guarantee)!!. Pia ongezeni RECEIVED, hakuna kulala hadi kieleweke, na Mungu ni mwaminifu!!
Jamani wanaojua kama status zinamaana watupe majibu, kutoka kwenye selected for oral unterview badae huwa inakuwaje?Kumbe status zina maana?
Hazina maana...subiri pdfJamani wanaojua kama status zinamaana watupe majibu, kutoka kwenye selected for oral unterview badae huwa inakuwaje?
Daah...sas mpaka waje wamalize izo 800 ni leo kweliHapana mbn yupo nnaemfahamu tulifanya nae interview na ameitwa, tulikua nae kwny usaili mwezi wa7
Duuh... Basi hizo 800 zitaenda Hadi June mwakani.Daah...sas mpaka waje wamalize izo 800 ni leo kweli
Kuna mtu aliniambia Kuna maksi za ufaulu wamezingatia. Sijui ni kweli, wengi waliopata written around 50 wameitwa kazini.. Wenye high performance wameachwa sa sielewi.Hapana mbn yupo nnaemfahamu tulifanya nae interview na ameitwa, tulikua nae kwny usaili mwezi wa7
Kuitwa kazini ni kutegemeana na marks za Oral.Kuna mtu aliniambia Kuna maksi za ufaulu wamezingatia. Sijui ni kweli, wengi waliopata written around 50 wameitwa kazini.. Wenye high performance wameachwa sa sielewi.
Vipi Bado hujaitwa....nimeanza kupata wasiwasi wa kuitwa ....mana mkeka unatoka wapiHongera kwa walioitwa Mungu atupe subira ambao Bado.
Amina....ngoja tuendelee kusubiriMie Bado Ndugu. Mie mwenyewe nakupa matumaini tu maana kwa hesabu Bado kama nafasi mia sita hivi kulingana na nafasi walizotangaza. Tuendelee kuomba Mungu
Kaangalie PDF mpya CDOs imeachiwa Mimi sijapataAmina....ngoja tuendelee kusubiri