Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

mpaka leo tarehe 09.10.2023 kwenye nafasi 800 walizo tangaza, bado nafasi 277 za watu kuitwa kazini. kila lakheri mliofika oral, ila kama sio leo basi zamu yako ni kesho, kikubwa mtabaki kwenye data base.
Mungu atukumbuke nasisi tuwe kati ya 277
 
Tayari ila hamna Bado ....vipi wewe? Naona majina 13 tu leo
Naona wameitwa ustawi wa jamii. Nikajiuliza ndio wamechukua kwenye Hawa hawa.tuofanya za CDOs au Kuna interview nyingine walifanya?
 
Tuendelee kuwa na subira.. Kuna gap filling pia ambao hawataripoti. Mungu akasimame nasi tu.
 
Back
Top Bottom