Recent content by OllaChuga Oc

  1. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Nimenunua muda wa maongezi wa 38K Vodacom kimakosa, kama kuna anayehitaji tuwasiliane

    Pigia watu simu wale ambao huwapigiagi, wanaweza kukupa mishe
  2. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    Wakuu za siku, nitajieni channel za ku download movie
  3. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kulipia Netflix out of curiosity

    Mkuu unalipiaje naomba nisaidie
  4. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Sheria na taratibu za kuasili (Adopt) mtoto Tanzania

    Vipi mkuu ulifanikiwa kukamilisha huu mchakato? Na mimi ninataka kuanza..
  5. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Polisi: Mwanamtandao Ashlee Jenae alifia Hospitali baada ya kukutwa amejinyonga

    Daah pisi kali hivi kutoka mambele inakufaje kizembe namna hii??
  6. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Wadukuzi wa Iran wauinglia mtandao wa internet wa FBI na kufungua akaunti binafsi ya barua pepe ya Mkurugenzi wake Kash Patel

    Imekuwaje mla kachori muhindi anakuwa mkurugenzi wa fbi?? Au ndio kuchanganyikiwq kwa Trump maana mjuba Iran anampelekea moto kweli kweli
  7. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Vita ya USA Israel na Iran wote wameishiwa ADS imekua piga nikupige

    Kama Iran Man Alone anamnyesheta myahudi na Dada yake usa je akiwa ni mwamba mmoja hivi wa kuitwa putin itakuwaje??
  8. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Mahmoud Ahmadinejad Rais wa zamani wa Iran naye auawa

    Sasa nani anaongoza serikali kwa sasa.
  9. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Kwanini Pakistan hushika nafasi ya kwanza kila mara katika list ya nchi hatari kuishi duniani?

    Pakistan people ni kama Nigeria walochangamka, Yale majamaa ni waizi hatari. Kukuzia kitu feki au kukupa kazi was kulipa ni kawaida kwao, nimeishi nao sana dubai na kidogo Kuwait
  10. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Trump: "Sikupenda namna waziri mkuu wa Uswisi alivyoongea kwa ukali, hivyo badala ya kupunguza ushuru, nikaongeza hadi 39%"

    Hii ni maajabu, leo hii wazungu wanageukiana 🤣🤣🤣
  11. OllaChuga Oc

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baba Bora Hawezi Kutelekeza Watoto Wake Hata akiwa kwenye Ugomvi na Mzazi Mwenzie

    Subiri na wewe ukuwe na familia, mkuu
  12. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania AFCON 2027: CAF huenda ikaahirisha mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika

    Hahahah ni vituko
Back
Top Bottom