Ewe Mwenyezimungu,sisi waja wako tunakuomba utujaalie amani,utulivu na usalama tunavyoelekea kwenye uchaguzi..wajaalie busara na hekima wote wanaowania nafasi ya u rais,UIFUNGE midomo yao kutamka kauli zinazobashiria uvunjifu wa amani na utulivu na hatimae tunakuomba utujaalie tumchaguwe...
Kaloleni primary school halafu Arusha Sec wakati huo Mkuu ni Mrs Materu halafu Ilboru sec Mkuu akiwa Mr Mushi na gari yake 404...then JKT oljoro and after that UDSM.Chakula kizuri..malazi safi...wakufunzi wazuri.
BMK na Bunge la Jamhuri yamewamaliza wengi wanaogombea urais.Tumekuwa tukiwaona tabia zao na majibu yao yasiyo na msingi na dharau na uwongo wa upembuzi yakinifu nk..nk...kila mwaka.Huwezi panda Bangi ukavuna mahindi.Mzee Sita BMK litachangia sana kuanguka kwake,Asha Rose wala asijaribu kutia...
Nini tofauti ya ushahidi chini ya kiapo na ushahidi bila ya kiapo...picha mnato au video zinakubalika kama ushahidi mahakamani....yaani nilinunua shamba na kwa bahati nikawa nachukuwa video ya vikao vyote mpaka kuoneshana mipaka ya shamba tukiwa na wazee wa ukoo,lakini baada ya muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.