Ndugu tuko 21st century sio lazima mtu kuchomwa kisu, auwawe ama awekwe gerezani.... Kilichofanyika Zanzibar ni nini kwa mfano? Huo ni muendelezo wa ninachosema ni ubabe.
Nina shaka na umakini wako. Nimesema kilichofanyika haikuwa wizi wa kura - rejea matukio niliyonakili hapo. Huu ulikuwa ubabe usio na mfano. Mbona unatoa makucha saaana?
Sababu ni moja tu! Kilichofanyika Tanzania haikuwa wizi wa kura tu..... Hapana! Ilikuwa Robbery With Violence (Wizi wa kimabavu)! Kama kweli Makifuli alishinda kwa kura kulikuwa na haja gani serikali kuyavamia vituo vya UKAWA vya kujumlisha kura? Kulikuwa na haja gani ya kuivamia ile shirika...
If the Tanzania National Electoral Commission is indeed transparent and non-partisan it should heed UKAWA's plea to count the presidential votes afresh manually - using the presidential tally forms signed by Party agents at the polling centres. The International community should also join in...
Kama uchaguzi haukuwa wa huru na haki, bado watataka wasimamie ukirudiwa tena? Iwapo taarifa hii ni ya kweli Tume pia ifutiliwe mbali na Tume mpya ibuniwe yenye uwakilishi(representatives) wa vyama vyote pamoja na wadau wengine.
Kampeni zimeshafanyika sasa kila mpiga kura atimize wajibu wake hapo kesho - kwa wakati uliobaki very little can change. Mimi ni Team Lowassa/UKAWA. Cha muhimu ni tudumishe amani, tusameheane kuna maisha baada ya Uchaguzi. Nawatakia wote kila heri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.