Magufuli hatambuliki E.A.C?

Magufuli hatambuliki E.A.C?

Nani kachomwa kisu!? Nani kauwawa!? Hivi unaujua ubabale wewe?
Ila ipo siku mtakuja kuuona ubabe hasa ndipo mtakapojua kuwa mlikua kwenye nafasi nzuri sema nyie wenyewe mmeichezea

Ndugu tuko 21st century sio lazima mtu kuchomwa kisu, auwawe ama awekwe gerezani.... Kilichofanyika Zanzibar ni nini kwa mfano? Huo ni muendelezo wa ninachosema ni ubabe.
 
Ujio wao siku ya kuapishwa its enough support
 
Mpo?

Kwa kawaida mgombea akishinda uchanguzi upongezwa.Lakini hii ni kinyume na rais mteule wa TZ. Sijapata kusikia rais wa Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi akimpongeza Bw. Maguufuli kwa ushindi wake.

Huenda hawampendi? Ama hawafagilii namna alivyoshinda uchanguzi? Au wana sababu zao?
Stop smoking weed.
 
Back
Top Bottom