Sababu ni moja tu! Kilichofanyika Tanzania haikuwa wizi wa kura tu..... Hapana! Ilikuwa Robbery With Violence (Wizi wa kimabavu)! Kama kweli Makifuli alishinda kwa kura kulikuwa na haja gani serikali kuyavamia vituo vya UKAWA vya kujumlisha kura? Kulikuwa na haja gani ya kuivamia ile shirika isiyo kiserikali (NGO) ambayo ilikuwa ikifuatilia mchakato wote was upigaji kura?
Tanzania imekua ikijionyesha kama nchi inayoongoza kwa kukuza demokrasia na amani Afrika Mashariki tofauti na Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda. Katika uchaguzi wa Oct 25 serikali ya Kikwete walionyesha Ulimwengu wote their true colours. Kama viongozi wa upinzani walivyosema huu ulikuwa ubakaji wa demokrasia.
Iweje unatangazwa mshindi hakuna wa kushangilia?
Believe me the legitimacy of Magufuli presidency is in question the world over. Am eagerly waiting to see who'll attend the inauguration ceremony! Binafsi nasema hayajaisha...