Recent content by Ole Morwo

  1. Ole Morwo

    SIRI Iliyojificha Kwenye Bangi inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani hasa Afrika

    Tatizo pia kuna watu wanavuta hovyo na hawazingatii usafi wala chakula tu ii kitu Ni nzuri baada ya kumaliza shughuli zako jioni umeoga na uwe na uhakika wa kula
  2. Ole Morwo

    SIRI Iliyojificha Kwenye Bangi inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani hasa Afrika

    Upo sahihi music unasikia hadi tone ambazo hukuwahi kuzisikia apo kabla
  3. Ole Morwo

    SIRI Iliyojificha Kwenye Bangi inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani hasa Afrika

    Nipeni makazio ya herb maana kila nikishushia na alcohol inanitibua sana
  4. Ole Morwo

    Tarehe 1/3/2023 Chadema watajazana tena KIA kumpokea Godbless Lema naye hatujui kama atadumu. Siasa za Bongo pasua kichwa!

    Lema kwa sasa hana jipya tena, kafilisika kisiasa Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  5. Ole Morwo

    TAHADHARI: Vijana wengi wanapoteza muda Dar es Salaam

    Sometimes hua inatokea Unarudi home kusalimia from daslam umeshine na kasmartphone kakuzugia unakuta Kuna baadhi madogo uliowaacha kitaa wamejenga na wana familia maisha yanaenda. Mbaya zaidi ukijitafakari life lako uko dar unajihurumia mwenyew ila ni siri yako tu, nimeshuhudia sana lifestyle ya...
  6. Ole Morwo

    Napoteza hamu ya mahusiano muda mfupi baada ya kuyaanzisha. Je, hii ni hali ya kawaida?

    Ilo nalo neno na pia uvutaji wa bangi unachangia iyo hali pia Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  7. Ole Morwo

    Nisaidieni: Mtoto mchanga wa jirani hunyamaza kila asikiapo sauti yangu

    Iyo fursa nzuri sana kwako kula tunda kimasikhara Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  8. Ole Morwo

    Panapokula muda wako mwingi ndipo panapoamua hatma ya maisha yako ya baadaye

    Masaa 9 kidogo hivyo, mm niliachana na kazi ya masaa 12 mshahara laki 3 apo ulipe kodi ule na ndugu pia wanakutegemea wakijua upo na job town. Niliwaza future yangu na sikupata majibu
  9. Ole Morwo

    Muda upi sahihi wa kufanya mapenzi baada ya kujifungua

    Ni kweli inawezekana mtoto sio wa mdau so mama anaogopa kumbemenda mtoto Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  10. Ole Morwo

    Taarifa Kwa Umma: Godbless Lema kurejea nchini Tanzania Tarehe 1/03/2023

    Lema kuusu ubunge Arusha asaau tu kwa sasa amepoteza mvuto na ushawishi kwa ujumla Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  11. Ole Morwo

    Taarifa Kwa Umma: Godbless Lema kurejea nchini Tanzania Tarehe 1/03/2023

    Lema ni mpumbafu sana ana akili za kitoto sana bora angetulia aendelee na harakati nyingine za chama sababu Arusha ilikua wazi kabisa na yeye pia ajua kabisa 2020 hawezi shinda ubunge Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  12. Ole Morwo

    Taarifa Kwa Umma: Godbless Lema kurejea nchini Tanzania Tarehe 1/03/2023

    Uyo anaangalia tu upepo ila kwa Arusha hana chake tena, ana kazi ngumu kufanya Wana Arusha wamuamini tena. Namshauri aanze kugombea udiwani kwanza Apo 2025 otherwise anajitafutia aibu nyingine ya kuangukia pua Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  13. Ole Morwo

    Hivi kwanini watu wa Dar wanapenda kuwaita watu wa mikoani washamba?

    Ni sawa tu maana ata watu wa Arusha na Kilimanjaro wakienda dar wakirudi likizo wanatuona washamba Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
  14. Ole Morwo

    Hivi kwanini watu wa Dar wanapenda kuwaita watu wa mikoani washamba?

    Ni sawa tu maana ata watu wa Arusha na Kilimanjaro wakienda dar wakirudi likizo wanatuona washamba Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom