johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
Ni kama vile Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wanaitendea haki kauli ya mzee Membe ya kupishana angani
Hapa Arusha maandalizi ya mapokezi ya Mgombea ubunge wa Chadema Mh Godbless Lema yamepamba moto.
Nchi ngumu sana hii!
Hapa Arusha maandalizi ya mapokezi ya Mgombea ubunge wa Chadema Mh Godbless Lema yamepamba moto.
Nchi ngumu sana hii!