sio vicent km 50 50 af mchz mfukoni cna hata jiti,kwenda 41 nae anataka mahelaaaaa
dah nipeni deal,she performs na ila anasema hukuepo wakat nazisaka so usinipangie kuspend
habari zenu wana jf doctor,za siku nyingi?hope wazima wote
samahani nimesikia kua mafuta ya ubuyu yanapunguza unene ni kweli?
Mana kwa jinsi nilivo yaona yapo kama korie hata harufu pia,
na kama yanapunguza unene je unayanywa au wafanyaje?
Natanguliza shukran zangu za dhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.