hapo sawa nakubaliana Bishanga where were u.[/QUOTE
shem wangu Bishanga nae alienda kwny maandamano ya gesi,amechoka kukopa saccos, na vihela vyote vinachopiwa na wadada!
hapo sawa nakubaliana Bishanga where were u.[/QUOTE
shem wangu Bishanga nae alienda kwny maandamano ya gesi,amechoka kukopa saccos, na vihela vyote vinachopiwa na wadada!
Za sa iz??
Samahan kwa kupotea!!
Nilienda kuwasalimu wazee wangu mjini Arusha.
Nimesikia unanisaka kwa hali na mali sijui nimefanyeje maana mwenyekiti wa ndoa Baba V anataka tumfuate sijui anataka nini!!
Na kwanini kaniulizia mie??
Nilikua nimepotea sasa nimerudi nadhani mambo yote hadharani...
Copy: Baba V,
@Olld vampire,
Mr Rocky,
watu8,
Arushaone
LiverpoolFC,
Madame B,
Slave,
Chimbuvu
Judgement
Asprin
etc
Hivi yule mtu ni ME au ni KE...??? inabidi akaguliwe kwanza loh!!!
mkuu hata kidonda changu hakijaponaa duuh
naomba nitafutie nianze majadiliano nae.
Hivi yule mtu ni ME au ni KE...??? inabidi akaguliwe kwanza loh!!!