Recent content by Old story

  1. Old story

    Naanza kujawa na mashaka. Yawezekana haya mambo ya Iran/Israel ni michongo tu, tunachezewa akili na wakubwa

    asa hivi sio zama za kukariri flan ni mkali wanyonge wa sasa wamepiga hatua hakuna anae taka kukurupuka na iran wanajua kashaota pembe
  2. Old story

    Hatuhitaji vita vya kikanda na Iran-Waziri Mkuu wa zamani wa Israel

    ingekuwa ni htari sema watu tunashindwa waza kwa nn iran atoe taarifa saa 72 kabla ya tukio
  3. Old story

    Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

    unaijua dron anazo tumia Rusia nani kamfundisha tengeneza na nani anamuuzia hizo 300 ni robo ya robo ya makombora yote
  4. Old story

    Israel yatoa hofu kwa mataifa ya Kiarabu kwamba haitawagusa

    Iran anakibur asa hivi mtoto kaota ndevu mpeni wembe
  5. Old story

    Makombora mengi ya Iran yatua na yapiga vituo vya kijeshi nchini Israel

    nilicho penda Marekan anachezeshwa singeli asa hivi amsaidie nani sijajua kama ndo putin anachezesha mchezo au mchezo umemwendea upande wake wakat akicheza
  6. Old story

    Mfumo wa PEPMIS, Utumishi mmekurupuka kuuleta

    Serikali ilipiga hesabu kama kishikwambi kilituma taarifa za sensa na ni kijiji lazima na ww mwalimu utatuma tu wanasahau mawakala wa sensa walikuwa wanaenda sehemu yenye mtandao ndo wanatuma
  7. Old story

    Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Mtamtoa roho maharage ya mbeya subiri mteule tuone kama mvinyo ni uleule ila chpa ndo mpya au vyote ni vipya
  8. Old story

    Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Mtamtoa roho maharage ya mbeya subiri mteule tuone kama mvinyo ni uleule ila chpa ndo mpya au vyote ni vipya
  9. Old story

    Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

    Hekaheka zitapungua ukipata mtu sahihi
  10. Old story

    Tuwe wakweli, mwanaume ni mwanaume tu

    Inshort kuwa na mtu ni muhimu sana
  11. Old story

    Hivi ni kweli ukiachana na mke wako kuna balaa lolote inaweza kukupata?

    Majanga kupata siamini sna ila ninacho amini mausiano yako mapya hayatakuwa bora sana au hayatakuwa bora inategemea mlie achana nae alikuwa bora au so bora
Back
Top Bottom