Mtoto kupumzika ni sawa lakini angalia usomaji wa wakat wa shule ni tofauti na na usomaji wakat wa likizo sema changamoto mzazi unawaza kufata muongozo wa elimu kwa kuwa unakuta majukumu yamekubana hela cjui ya kulipia hiyo tution huna.Ila kiuharisia mtoto kusoma likizo ni sawa hasa kwa madarasa...
nilicho penda Marekan anachezeshwa singeli asa hivi amsaidie nani sijajua kama ndo putin anachezesha mchezo au mchezo umemwendea upande wake wakat akicheza
Serikali ilipiga hesabu kama kishikwambi kilituma taarifa za sensa na ni kijiji lazima na ww mwalimu utatuma tu wanasahau mawakala wa sensa walikuwa wanaenda sehemu yenye mtandao ndo wanatuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.