Ni fedheha sana kuona watzn tunapotezavmuda mwingi kuwatukana na kuwadhalilisha watu tena viongozi eti kwa sbb za kiitikadi.Freeman Mbowe ni kiongozi wa kisiasa kama walivyo viongozi wa chama cha mapinduzi na baba wa familia.
Ni watu waliopungukiwa akili tu ndio wanaoweza kuona kuwa...
Imani zao ziheshimiwe kwani zimelindwa na kaiba;kana kuna mapungufu waelekezwe na si kuwanyanyasa kwa ajili ya mavazi yao.mbona wavaa nusu uchi wanaachwa huru?
Kichwa ndio utambulisho wa mwili mzima.Ukiskia fulani kichaa inamaanisha kichwa chake hakipo sawa.Nidhamu ya watoto wa R.Mengi ni mfano wake yeye kichwa cha familia.Hata mkewe Jacklyn hana makuu.Waendelee kujiangalia
Hilo halitawezekana.wabunge wa CCM wanalishwa(kuapishwa) yamin kulinda maslahi ya chama(raisi)navsi ya taifa.Hata K.Lgda aliyeunfana na wenza wa upinzani kukataa uonevu kwa wanafunzi wa udom ktk hili atamtetea tulia.katibu wa bunge atatimiza wajibu ili ionekane utaratibu umefuatwa ila hakuna...
Mimi nikisoma BIBLIA naona manabii na mitume walifanya kazi ya kuwaonya na kuwashauri wafalme na watawala.Wachungaji kazi yao kulilisha ,kulitunza na kuliangalia kundi la Mungu lililo chini yao.Kwa kuwa wakati huu hakuna tena manabii na mitume(kwa mujibu wa Biblia);ni kazi ya wachungaji na...
Kama wanataka kuheshimika na wananchi wajitambue na kukataa kutumiwa na watawala kunyanyasa wengine.Wasimame katikati,wasrme ukweli lkn pia watumie akili zao
JK hawezi kumjibu JPM kama mnavyotabiri.Anajua mwenzie ndiye anayemlinda.Kumbukeni wakati wa kampeni alisema akimwachia JPM nchi atakwenda zake msoga kulala usingizi, akimaanisha hatasumbuliwa.Haya anayoyafanya JPM ni mambo madodo kwa JK kwa namna katiba ya sasa ilivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.