asante kwa andiko lenye kufirikisha,kwa upande wangu nakubaliana na wewe juu ya swala la watu kumalizana kinyemela pale maswala ya ukatili na unyanyasaji kwa watoto wa kike yanapotokea,kuhusu suruhu panahitaji mjadala mpana sana ili kuweza kukomesha jambo hili
Jaribu kuongea nae.ila inaonesha hatua aliyofikia cjui kama anaweza kukubaliana na wew.kikubwa ongeen kuhusu dini ya watoto .
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole yake kwakuwa anajipa mawazo yasiyoyalazima.kuwekwa picha kwa profile siyo uthibitisho kwamba unapendwa.hebu muambie aangalie mambo mengine aachane na profile kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh ,,hii Kali,,,jamaa angemdanganya kwenye utongozaji tuu....karibia kufunga ndoa au baada ya kuona mwanamke kazama angemuambia ukwel. Sidhan kama angesema ukweli yy mwenyewe angeachwa...but bora kuachwa kimyakimya kuliko huko kudharilika dunia yote...pole kwa bwana harus
Narudia teña usirudie kufanyaa huo upuuz na mwanafunz ,,chunga tamaa mbaya,kuna bint alikufa hivihiv shulen enz hizo boarding...akameza midawa kumbe uchafu ukabaki...kwenda hospital ya wilaya hakurud hai alikuwa mfuu...pale cdhan km hata aliyempa km alionekana msibani...inaumiza sana...
Ck nyingine usirudie,,,yaan unatembea na miaka 30 jela we jamaa uache kabisa,,,dhambi ya kuua itakuandama utakuwa mzoefu ck zijazo,,,haya jibu ni ck saba,,ungeomba ushaur kabla hujaharibu ningekushaur sawasawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.