Chris Mauki: Hatua tano za penzi

Chris Mauki: Hatua tano za penzi

Afundishe vijana ujasiriamali sio kila siku mapenzi. Utakuta mtu hana uhakika wa kupata milo mitatu. Halafu unamuambia mambo ya mapenzi kamwe hawezi kukuelewa.
 
Afundishe vijana ujasiriamali sio kila siku mapenzi. Utakuta mtu hana uhakika wa kupata milo mitatu. Halafu unamuambia mambo ya mapenzi kamwe hawezi kukuelewa.
afundishe vijana kujenga viwanda vikubwa tuunde ndege hapa hapa nchini
 
afundishe vijana kujenga viwanda vikubwa tuunde ndege hapa hapa nchini
Wapo wanaofundisha hayo uyatakayo nenda kajifunze kwao, muache mauki afundishe kile alichochagua kufundisha. Ukiona hakikufai wapo ambao kinawafaa.
 
Huyu jamaa bhana!!Hivi ushauri yeye ni lazima iwe saikolojia ya mapenzi?
Ujanja ujanja mwingi sana,eti mpaka mkewe naye mshauri,halafu hata kuandika huko insta mkewe ni shida
Utaona anaandika "Jinsi ya kulizika na mumeuliyenaye"
asante kwa kuliona hilo,,mkewe kilaza haswa,,,halafu anaandika hashtag ya jina lake,unakuta kaandika "#MiriamMauki",,,,,yaani vituko juu ya vituko
 
Back
Top Bottom