Recent content by Oku

  1. Oku

    Huu ndio ukweli kuhusu maisha ya ndoa

    Ukitoa herufi 'N' katika neno NDOA utapata neon DOA na ukishindwa kurudisha herufi 'N' itakulazimu utoe herufi 'D' ili usiwe na DOA na hivyo utabaki na neno OA. huyo utakaye muowa atakuwa msafi.
  2. Oku

    Wanachama wa CHADEMA Ludewa wachoma kadi na kuhamia ACT-Wazalendo

    Wamechomea Ludewa ya wapi Mkuu?
  3. Oku

    CHADEMA kwafukuta mbaya, watoleana bastola

    Masisiem haya achi kuweweseka mwisho wao October 25 asubuhiiiiii
  4. Oku

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais

    Naanza kuhisi kuwa huenda watatuzuia na kwenda kupiga kura.....
  5. Oku

    Lowassa asafirisha watu kutoka mikoani kuongeza idadi ya watu wakati wa kuchukua Fomu

    Bwana Simyu yetu naomba unijuze Lowasa anagawa pesa saa ngapi na wapi Maana mimi na jamaa zangu tumekuwa ni wahudhuliaji wazuri wa mikutano ya Lowasa na sijawahi kupata pesa wala kusikia wenzetu wengine kama nao wamevuta mpunga... Naomba unijibu hilo... vinginevyo acha kuweweseka acha sindano...
  6. Oku

    Juhudi za CCM kumbeba Magufuli zimezidi kugonga Mwamba

    Huu ni mwanzo tu, Tunasubiri tarehe 25 Oct, Asubuhi.
  7. Oku

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Kama watanzania hawatapata mabadiliko ndani ya CCM Basi watayapata nje ya CCM, na upinzni wa kweli utatoka ndani ya CCM. Hiyo ni mijineno ya Mwalimu Nyerere. And get to know that An enemy of yours is YOUR Friend.
  8. Oku

    Mapenzi yamezaliwa usukumani, tuacheni ubishi

    Hawa ndio wale Nduhu tabu .........!!! kila mtu anapewa tu hakuna kunyimana..... Ushuhuda ni kile wanachokiita Chagulaga Mayooo...
  9. Oku

    Mapenzi yamezaliwa usukumani, tuacheni ubishi

    Chagulaga Mayoooo.......!!!!
  10. Oku

    Kwanini baadhi ya kina dada hupenda wanaume makatili na kudharau wapole?

    Yah namimi na sema wapigwe tu..! maana hakuna namna nyingine
  11. Oku

    Amezaa na mke wa mtu watoto watatu!

    Kitanda hakizai haramu.... hao ni watoto wake halali na wewe katafute wakwako, huwezi kumpa mwenzio wakati wewe huna, tena mara tatu huo ni utahila..
  12. Oku

    Mchepuko

    Nenda ukafanyiwe maombi....
Back
Top Bottom