Kwa mjibu wa sheria ya
Wanyamapori Na.5 ya 2009 kifungu cha 86(1) inakatazaa kumiliki, kuuza, kununua au kujihusisha kwa namna yoyote na nyara za serikali. Kifungu kidogo cha (2) cha fungu hilo la 86 kina vipengele (a) na (b) vinatoa maelekezo sahihi namna ya kutoa hukumu kwa anayevunja kifungu...
Habari wana Jamii,
Kwa heshima na taadhima naombeni msaada wa mawazo (Kisheria) katika hili.
Mwishoni mwa mwezi wa tatu mdogo wangu anayesoma kidato cha nne alipotea nyumbani majira ya saa 2 usiku na hakuonekana hadi baada ya siku 3.
Kabla hajaonekana wakati tupo kwenye pilika za kumtafuta...
Hey guys let's be fair to our President, cause he knows all those he will be dealing with one after another. even if it's you would you have resolved all? Tumpe muda then after tutamuhukumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.