Recent content by ogmhillu

  1. ogmhillu

    ATM MACHINE

    Uliwahi kujiuliza kwa nini ATM machine hutoa kadi kwanza halafu pesa huja baada ya kadi? Walotengeneza ATM wanajua hulka za binadamu! Kwamba binadamu akipata anachotaka anasepaaaa.... hakumbuki alomwezesha! Wangapi wangekumbuka kuchukua Kadi kwenye ATM kama pesa ingetoka kwanza...
  2. ogmhillu

    Wanawake: Nini udhaifu (weakness) wenu kwa wanaume? Kipi kinawadatisha?

    Msambwanda ni mpango mzma Napenda sana Na huyu ambae Niko nae anao roho imetulia tuli
  3. ogmhillu

    Special thread: Kwa waombaji wote wa mikopo 2017/2018 (HESLB)

    Ukiwa na vigezo muhimu,, mfano Mazingira magumu au Yatima Shule za Serikal, una sifa za kusoma chuo kikuu n.k
  4. ogmhillu

    Natafuta mume

    Nikweli kabisa
  5. ogmhillu

    Karibu tukupambie katika shughuli zako mbalimbali

    Ahsante Sana Ubarikiwe
  6. ogmhillu

    Nimerudia mtihani mara 3 ndo nikafaulu, je naweza kwenda form five?

    Inawezekana kabisa Simamia ukipendacho Na Muombe Mungu akuwezeshe
  7. ogmhillu

    Karibu tukupambie katika shughuli zako mbalimbali

    Kwa upambaji wa kumbi za harusi, sendoff, mikutano, n.k Tunapatikana Moshi Na popote ulipo tutakufanyia huduma hii Wasiliana nasi kwa Simu Namba: 0769559718 au 0713870993 au 0624692160 Au barua pepe: fidolingodfrey@gmail.com
  8. ogmhillu

    Picha za kuogofya: Amzika mwanae akiwa hai kisa ameahidiwa kuolewa na tajiri

    A single mother buried her 3 months old baby after she met a rich man who promised to marry her. She did not tell the rich man that she already had a child from a married man. In order to save her new relationship with the rich young man.. she decided to play single by getting rid of the...
  9. ogmhillu

    ZIMBABWE: What's happening?

     ZIMBABWE Zimbabwe: What's happening? 16 NOVEMBER 2017 Still no statement from Mugabe as situation remains tense after military takeover.  Zimbabweans are waking on Thursday up to uncertainty after hearing that the country was likely to have a transitional government in the wake of a...
  10. ogmhillu

    Angalia Mahojiano HOTMIX juu ya changamoto za udahili na nini kifanyike.

    Mkuu Mungu Akupe Afya njema Uendelee kututetea Ubarikiwe kaka
Back
Top Bottom