kifaduro
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 219
- 190
Ulitaka aolewe dada akoUmepost udaku, alafu kuambiwa hutaki.
Ulitaka aolewe dada akoUmepost udaku, alafu kuambiwa hutaki.
kwaakili yako tajiri gani ataoa mwanamke kama yule.? Kama unadada yako mpe ukakae kwa shemeji yako tajiri uchwala.Ulitaka aolewe dada ako
kwaakili yako tajiri gani ataoa mwanamke kama yule.? Kama unadada yako mpe ukakae kwa shemeji yako tajiri uchwala.
Kapost udaku wa facebook kauleta huku.Huyu mtoto ndio ana siku mbili ardhini? Mbona naona sivyo? Kama wamemfukua saa chache baada ya kuzikwa akiwa hai hapo sawa. Lakini kusema siku mbili zilizopita yuko chini ya udobho nakataa maana maiti bado haijaharibika kabisa......
Chini ya udongo kunasababisha mwili kuharibika haraka....
mwanamke ni shetani aliyejivika sura ya mwanadamu..sasa uyo amemuua mtoto wake mwenyewe wakumzaa unafkiri ni binadamu wakawaidaHii ndio imeniharibia siku yangu. Nimeisoma hii nikamwangalia mwanangu wa miezi mi3, aliyelala nikavuta hisia nimeumia sana.
Kweli kuna ushahidi wa asilimia nyingi kuwa mwanamke japo ni mama zetu ila wana roho za kishetani.
Ref
Hawa
Delila
Lutu
Mke wa Ayubu
Hii ndio imeniharibia siku yangu. Nimeisoma hii nikamwangalia mwanangu wa miezi mi3, aliyelala nikavuta hisia nimeumia sana.
Kweli kuna ushahidi wa asilimia nyingi kuwa mwanamke japo ni mama zetu ila wana roho za kishetani.
Ref
Hawa
Delila
Lutu
Mke wa Ayubu
Kumbe na wewe unauruma