Recent content by OG12

  1. O

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    je inatakiwa nguzo kwa kila Kona ya mnara wa tank la maji, ili kupata pressure nzuri ya maji je mnara unapaswa kuwa na urefu gani?
  2. O

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    chini nahitaji kuweka public toilet na laundry room(sio lazma iwe na washing machine) Itapendeza ikijumlisha na gharama ya mfumo wa awali wa maji
  3. O

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    ardhi ni kichanga ndugu, ila nyumba ni kozi 11 lenta then kozi 3 za juu, kingpost ni 5.6m... so hapo unaweza kukadiria urefu gani utafaa
  4. O

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    nahitaji approximation ya gharama za materials yatakayoitajika na gharama ya ufundi ndugu
  5. O

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    mkuu nahitaji kujenga mnara wa tank lenye ujazo wa Lita 3000, ila chini nipate small laundry room na choo cha nje. Naomba msaada nisije nkakosea uzito wa tank likiwa na maji likaangusha Kuta?
  6. O

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    mkuu nahitaji kujenga mnara wa tank lenye ujazo wa Lita 3000, ila chini nipate small laundry room na choo cha nje. Naomba msaada nisije nkakosea uzito wa tank likiwa na maji likaangusha Kuta?
  7. O

    JamiiForums Tanzania Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Bado hujafika 500k
  8. O

    JamiiForums Tanzania Yanga wanatumia janja ya kususia derby ili msimu ujao washiriki Kombe la Shirikisho la CAF

    Hata Yanga akisusia mechi na akakatwa point 15 kikanuni bado atamaliza nafasi ya pili, na hili uongozi unalitambua vizuri tu NB: Yanga wako tayari mpewe kombe ila hawachezi
  9. O

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe amshika pabaya Injinia Hersi kuhusu udhamini, badala ya kujibu hoja anamsifia Oscar Oscar

    Ebu kaitazame jezi ya Namungo afu urudi tena
  10. O

    JamiiForums Tanzania Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Ukifika 500k PM yangu iko wazi kwa ajili ya biashara
  11. O

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

    Vibrator table iwe na motor 7-10Hp
  12. O

    JamiiForums Tanzania Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Kuna 450,000 kama bado vipo tufanye biashara...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Amina Kyando hatakaa asahau hii mechi Biashara vs Tabora

    Ndugu huu mfumo unatumika kwa watala wetu wa kwanza Germany(Bundesliga) NB: Kama mashujaa waliumudu na sisi Biashara tunapita humohumo
  14. O

    JamiiForums Tanzania Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Alafu wakishavunja mikataba team ichezeje michuano husika na hairuhusiwi kusajili katikati ya msimu, hili jambo usilichukulie kawaida tu
  15. O

    JamiiForums Tanzania Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Yaani kwa kauli hii, kuna uwezekano team nzima ikavunja mkataba kwa sababu wachezaji wana haki ya kuvunja mkataba muda wowote wanaojisikia, mpira hauko hivyo ndugu.... umesajili kikosi chako cha msimu na huna haki ya kuongeza mpaka dirisha la usajiri afu wachezaji 13 waamue kuvunja mkataba...
Back
Top Bottom