mkuu nahitaji kujenga mnara wa tank lenye ujazo wa Lita 3000, ila chini nipate small laundry room na choo cha nje. Naomba msaada nisije nkakosea uzito wa tank likiwa na maji likaangusha Kuta?
mkuu nahitaji kujenga mnara wa tank lenye ujazo wa Lita 3000, ila chini nipate small laundry room na choo cha nje. Naomba msaada nisije nkakosea uzito wa tank likiwa na maji likaangusha Kuta?
Hata Yanga akisusia mechi na akakatwa point 15 kikanuni bado atamaliza nafasi ya pili, na hili uongozi unalitambua vizuri tu
NB: Yanga wako tayari mpewe kombe ila hawachezi
Yaani kwa kauli hii, kuna uwezekano team nzima ikavunja mkataba kwa sababu wachezaji wana haki ya kuvunja mkataba muda wowote wanaojisikia, mpira hauko hivyo ndugu.... umesajili kikosi chako cha msimu na huna haki ya kuongeza mpaka dirisha la usajiri afu wachezaji 13 waamue kuvunja mkataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.