Recent content by OG12

  1. O

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    chini nahitaji kuweka public toilet na laundry room(sio lazma iwe na washing machine) Itapendeza ikijumlisha na gharama ya mfumo wa awali wa maji
  2. O

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    ardhi ni kichanga ndugu, ila nyumba ni kozi 11 lenta then kozi 3 za juu, kingpost ni 5.6m... so hapo unaweza kukadiria urefu gani utafaa
  3. O

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    nahitaji approximation ya gharama za materials yatakayoitajika na gharama ya ufundi ndugu
  4. O

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    mkuu nahitaji kujenga mnara wa tank lenye ujazo wa Lita 3000, ila chini nipate small laundry room na choo cha nje. Naomba msaada nisije nkakosea uzito wa tank likiwa na maji likaangusha Kuta?
  5. O

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    mkuu nahitaji kujenga mnara wa tank lenye ujazo wa Lita 3000, ila chini nipate small laundry room na choo cha nje. Naomba msaada nisije nkakosea uzito wa tank likiwa na maji likaangusha Kuta?
  6. O

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Bado hujafika 500k
  7. O

    Yanga wanatumia janja ya kususia derby ili msimu ujao washiriki Kombe la Shirikisho la CAF

    Hata Yanga akisusia mechi na akakatwa point 15 kikanuni bado atamaliza nafasi ya pili, na hili uongozi unalitambua vizuri tu NB: Yanga wako tayari mpewe kombe ila hawachezi
  8. O

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Ukifika 500k PM yangu iko wazi kwa ajili ya biashara
  9. O

    Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

    Vibrator table iwe na motor 7-10Hp
  10. O

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Kuna 450,000 kama bado vipo tufanye biashara...
  11. O

    Amina Kyando hatakaa asahau hii mechi Biashara vs Tabora

    Ndugu huu mfumo unatumika kwa watala wetu wa kwanza Germany(Bundesliga) NB: Kama mashujaa waliumudu na sisi Biashara tunapita humohumo
  12. O

    Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Alafu wakishavunja mikataba team ichezeje michuano husika na hairuhusiwi kusajili katikati ya msimu, hili jambo usilichukulie kawaida tu
  13. O

    Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Yaani kwa kauli hii, kuna uwezekano team nzima ikavunja mkataba kwa sababu wachezaji wana haki ya kuvunja mkataba muda wowote wanaojisikia, mpira hauko hivyo ndugu.... umesajili kikosi chako cha msimu na huna haki ya kuongeza mpaka dirisha la usajiri afu wachezaji 13 waamue kuvunja mkataba...
Back
Top Bottom