Intership maana yake ni nini? Ukipata jibu unganisha na kipengele c ha kutozwa 150,000 = na nini ukipata jibu unganisha chuo alichosoma + familia aliyo toka + jinsia yake wachache watakaonipata[emoji777]
Sio kosa kisheria na hakuna mtu anaezurula chumbani,,,lakini kuna mazingira yafuatayo 1.alikutwa maeneo ambayo hivyo vyumba vimezuliwa hiyo biashara isifanyike 2.wenda alikamatwa masaa ambayo siyo rafiki wakati mda mchache ndo anaingia chumbani 3.wenda huyo ni mharifu wa mda mrefu na alikuwa...
Wakuu habalini,
Yani kila mwaka kilio ni January mara ada mara sikukuuu zimemaliza pesa je, kuna ukweli ndani yake?
Iweje kilio kila January? Huwa hatujui January itafika tusave kidogokodogo kufanya replcemennt? Tutafute mbdala wa kilio cha January.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.