Recent content by ofie

  1. O

    Ni kweli mtu analazimika kulipa 150,000 kwa wiki ili kufanya internship Kitengo cha Moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI)?

    Intership maana yake ni nini? Ukipata jibu unganisha na kipengele c ha kutozwa 150,000 = na nini ukipata jibu unganisha chuo alichosoma + familia aliyo toka + jinsia yake wachache watakaonipata[emoji777]
  2. O

    Wanawake wengi siku hizi hawana akili. Pima akili yake kabla hujadate/zaa naye

    Hakuna mwanamke mwenye akili dunian ,na ukijiona unamuamini mwanamke umefiriska ubongo ,note....ishiini nao kwa akili
  3. O

    Mwamba alietunyoosha huyu hapa

    Natabiri, mwisho wa story wote mlitoa mbususu
  4. O

    Je ni kosa kisheria kulala na kahaba?

    Sio kosa kisheria na hakuna mtu anaezurula chumbani,,,lakini kuna mazingira yafuatayo 1.alikutwa maeneo ambayo hivyo vyumba vimezuliwa hiyo biashara isifanyike 2.wenda alikamatwa masaa ambayo siyo rafiki wakati mda mchache ndo anaingia chumbani 3.wenda huyo ni mharifu wa mda mrefu na alikuwa...
  5. O

    Tulioamka tumejilaza vitandani tujuane

    Hata mimi pia hivyohivyo
  6. O

    Tulioamka tumejilaza vitandani tujuane

    Hata uandishi wako unaonesha una fraha
  7. O

    Tulioamka tumejilaza vitandani tujuane

    Ujumbe upo openly,,
  8. O

    Tulioamka tumejilaza vitandani tujuane

    Kausingiz kamekata,wewe je?
  9. O

    Kila mmoja analalamika Januari, kuna ukweli au ni sound tu?

    Wakuu habalini, Yani kila mwaka kilio ni January mara ada mara sikukuuu zimemaliza pesa je, kuna ukweli ndani yake? Iweje kilio kila January? Huwa hatujui January itafika tusave kidogokodogo kufanya replcemennt? Tutafute mbdala wa kilio cha January.
Back
Top Bottom