Naomba kuuliza kwa mtu anaejua kitengo cha moyo Jakaya Muhimbili kuna kijana katoka chuo kasomea mambo ya moyo anataka kufanya intership pale kaambiwa akikubaliwa kwa wiki alipe 1,50000 laki moja unusu kwa wiki.
Je, kuna yeyote anaejua zaidi akatueleza, maana ni pesa nyingi sana mtoto wa masikini hawezi kumudu hiyo bei.
Je, ni kweli bei hiyo au inakuwaje.
Je, kuna yeyote anaejua zaidi akatueleza, maana ni pesa nyingi sana mtoto wa masikini hawezi kumudu hiyo bei.
Je, ni kweli bei hiyo au inakuwaje.