Ni akili za mtu na moyo wa ulafi. Iwe mtu binafsi au kikundi cha watu. Mfano ni Ccm hawako tayari kushindwa hata uenyekiti wa kijiji. Wataua kuhakikisha wanabaki so, siyo swala la umri.
Akina nyerere na timu yake, wengi walikuwa kwenye umri huo. Ilipofikia kung'atuka waling'atuka na hatukuona...
Mtu usimame kizumbani asubuhi mpaka saa 7. Kisha uendelee saa nane kusimama kizimbani. Huku unahojiwa na wanasheria na majaji. Akili zitafanya kazi ?! Miguu itafanya kazi !!.
Mshtakiwa kasema magereza wamezuia fedha zake. Kwanini wasizitumie kumlisha kama wao wanaona hasara ?!
Halafu hayo...
Ukweli tu ni kwamba wanaume tujiandae zaidi na kipindi chetu cha kustaafu.
Ni rahisi mzazi wa kike (mke) kukimbilia kwa watoto kwenda kulelewa, lakini si kwa mzazi wa kiume.
Watoto mara nyingi hu side na mama zao kuliko baba zao. Na hii ni natural.
Wazee tujiwekee akiba hasa za mali...
Morocco, Uturuki, Tunisia na nchi nyingi za kiislamu hawana ujinga huu wa kulazimisha watu kufuata masharti ya mashehe wachache. Imani ni ya mtu binafsi na kwenda pepo ni kwa mtu binafsi siyo jamii nzima.
Mavazi na vingine havimpereki mtu peponi. Bali Imani na matendo yako. Acheni watu...
Hivi kwanini Dpp amekuwa na kinga ya kutokushtakiwa ?!. Unateseka kwa miezi mahabusu. Halafu anakuja siku moja Dpp kuwa hana nia ya kuendelea na kesi !!
Ujinga wa kisheria za mtego.
Mifumo imeharibiwa makusudi na lile kundi la "WAHUNI" tuliloambiwa na katibu mwenezi wao.
Kwa hilo kundi ni kusifu na kuabudu viongozi na chama tawala. Ili malengo yao ya ufisadi ufanikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.