Naamini ni kweli, mimi siyo mlokole lakini siku moja nakumbuka ilikuwa ijumaa kuu nilikuwa naumwa tumbo sana basi nikatoka kitandani nikaenda sebuleni, pale sebuleni kulikuwa na msalaba nikasogea nikamwambia Yesu wangu naumwa nataka kwenda kanisani sasa ntaendaje na haya maumivu?? Basi pale pale...
Hicho siyo kinachoimaliza ccm bali ndicho kinachoimaliza chadema. Tindu Lissu alikuwa against Lowassa tena alikuwa mstari wa mbele kumuita fisadi mkubwa but what next akapewa nafasi ya kugombea Uraisi bila hata kufuta kauli zake.
Hao hao walimuita nape kibaraka na majina mengi but now anaitwa hero
Bora uwe mwanachama wa CCM kuliko kuwa chama cha wenye vurugu. Hata wakisimama majukwaani sera zao ni za chuki chuki tu. Na hapo ndipo ccm wanapowapiga gap.
Ukiona kiongozi mkubwa a anajiuzulu kipindi hiki cha baba Magu alikuwa mpiga deal
Acheni waondoke wengine watajiunga na chama
Nyie mnaowatetea waliofoji vyeti hamna maana kabisa. Unakuta MTU mmemaliza nae sec kafeli but mtu umekomaa na kusoma then after 1 year unakutana nae maisha mazur na vicheko juu wewe bado tu unahangaika na vitabu et nimuonee huruma??? Hapana aisee atumbuliwe tu na asipate chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.