Kichefuchefu na hasira zaidi, dawa za kufubaza virusi vya ukimwi kuchakachuliwa, uchunguzi sijui umeishia wapi, waliotuhumiwa wapo, wanapeta tu mitaani, wagonjwa wameathirika zaidi, sioni juhudi za kuwapigania, wamejificha wapi hawa,ni kama kesi iliyokufa kifo cha kawaida, maisha yanasonga mbele...