Mimi ni Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24, elimu yangu ni diploma ya IT.
Baada ya kuona soko la ajira limekua ni gumu ninawaza kujiari kwa mtaji wa 3m.
Kwa wenye uzoefu na biashara ni aina gani ya biashara inaweza kunitoa kimaisha.
Ingawa kuna wakati huwa Nawaza kuhonga pesa ili...
Wapendwa chuo changu nilichosoma kimefutiwa usajili, mimi nimehitimu mwaka jana naweza kuendelea na maombi ya Elimu ya juu au kwa waliomaliza haiwahusu?
Kweli ushabiki ni mbaya hivi kuna nyimbo imehit Zaidi ya nan kama mama?
Hiv ni kweli mwana ni video bora?
Anachofanya diamond ni kuonyesha watu kua anaweza kuimba mziki wa aina yoyote kulingana na mashabiki wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.