Ni aibu kama hawa wabunge wetu wameona maelezo ya wawili hawa yanajitosheleza kutuwakilisha kuliko wale waliowanyima kura..yaani wako radhi kuangusha taifa kisa vyama
Yaani wadau wanavodiscuss ni kama option ziko mbili,first mzuri asiye na maadili na mwenye maadili asiye mzuri...bros you can have one with both qualities..na wapo wengi tuu..
User name Ochu inatoka kwa my late best friend tulicheza wote na kusoma wote hadi tulipofika 11 years, siku moja tukiwa tunacheza akashikwa na haja akawa anakimbilia kwao ndipo alipokanyaga mfuniko mbovu wa chemba na kutumbukia ndani huku tunamwona,kwani tuliishi kwenye flats,alitolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.