Mimi nina mpenzi wangu ambaye tumeishi naye muda mrefu.Tatizo la mpenzi wangu ni kuwa msiri na mambo yake anayofanya hapendi kuweka wazi, ninashindwa kuelewa kuwa ni kwanini.
Nakaribisha maoni yenu[/QUOTE
Mmhh sasa hamjaoana siri zimeanza je mkioana itakuwaje???? I smell fishy very fishy... Why kujipa headache kwa kujiumiza bure kwa mtu kama huyo... Anyway , I dont believe in secrets with someone that who has good future plans together , no.... Well kaa nae chini na utoe dukuduku lako kwake kama ukiona no change acha kujipa pressure mpendwa , achana nae .. Na utapata atakekufaa na kuwa mmkweli sio mfichaji kwako.... Thanks..
Nakusalimu doctor Paulohappy eli JF si kama Twitter. Huku wanaruhusu more than 140 characters. Funguka zaidi.
The guy is full of shit, that's one of the signsMmhh sasa hamjaoana siri zimeanza je mkioana itakuwaje???? I smell fishy very fishy... Why kujipa headache kwa kujiumiza bure kwa mtu kama huyo... Anyway , I dont believe in secrets with someone that who has good future plans together , no.... Well kaa nae chini na utoe dukuduku lako kwake kama ukiona no change acha kujipa pressure mpendwa , achana nae .. Na utapata atakekufaa na kuwa mmkweli sio mfichaji kwako.... Thanks..
Yes He is.. Ningekuwa Mimi ni huyu Dada , huwa sidhani kama ningekuwa na amani in my heart I would just walk away... Life is too short .. After all mbona wanaume wapo wengi tuu... Pressure zote ni za nini za kujitakia , mmmmhmmh... Ila ndio kila MTU na moyo wake na maisha yake... Thanks...The guy is full of shit, that's one of the signs
Inawezekana anataka akudrop pale atakapomaliza kukutumia hivyo hataki ujue mambo yake usije ukamlipizia au kumdhuru atakapokuumiza. Sio sawa kuwa msiri iwapo mna malengo ya kuwa pamoja mda mrefu
Nakusalimu doctor Paulo
Njoo magetoni nikupe siri zake!Mimi nina mpenzi wangu ambaye tumeishi naye muda mrefu.Tatizo la mpenzi wangu ni kuwa msiri na mambo yake anayofanya hapendi kuweka wazi, ninashindwa kuelewa kuwa ni kwanini.
Nakaribisha maoni yenu
Yawezekana ni mme wa mtu, we umedandia tuMimi nina mpenzi wangu ambaye tumeishi naye muda mrefu.Tatizo la mpenzi wangu ni kuwa msiri na mambo yake anayofanya hapendi kuweka wazi, ninashindwa kuelewa kuwa ni kwanini.
Nakaribisha maoni yenu