Habar ITS,
Naomba msaada wa kiufundi kwa yeyote aliyena keys za kureset Printer aina ya Epson Namba L3060 Head Counter tuwasilkane pleas ni very agents
Asanteni
Habari wanajanvi, naomba kupata contact ya Maduka ya wanayouza Japan spare parts za injini! Nahitaji spare kwa ajili ya kufanyia service injini ya ghari yangu!Niko Tabora so ningependa nijue bei za hzo spare kwa ajili ya kuagiza
Habari wanajamvi, samahani naomba kama kuna yeyote anayejua Wakala wa Japan spare parts hapa Bongo anisaidie mawasiliano. Kuna spare parts nahitaji kwa ajili ya injini ya gari
Habari wanajanvi, Natafuta Ghari aina ya HiCE ndogo mfano Toyota HICE au NISSAN ila iwe Manual ya kutumia diesel kwa matumizi yangu mbali mbali
Ghari hilo liwe kwenye khali nzuri na hata hvyo uchumi umebana saana so budgets yangu ni ML 6 points
Anyone mwenye nalo au kujua pls PM
Wadau naomba msaada, unawezaje kunlock au kuenfelea kuchart na mtu aliyekublock kwenye WhatsApp yake kwa kutumia hyohyo WhatsApp yako aloblpck? Msaada pls kwa wenzangu wenye mahujanja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.