Recent content by oche

  1. O

    Rais Magufuli aamuru TRA, TFDA, TBS na TPA wawe wanafanya kazi saa 24 Bandarini kuanzia Jumatatu

    Agizo ili alitaweza ongeza ufanisi kama wadau wengine hawatashiriki kikamilifu, kama shipping line hawafanyi kazi masaa 24 mizigo haiwezi kutoka haraka
  2. O

    Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

    Bora kingwendu kuliko vilaza na wanganga wa kienyeji waliojaa ccm
  3. O

    Matusi bungeni: wadau walaani wabunge

    “Mheshimiwa Spika, sisi ambao ni chama tawala tufanye kazi, na kipimo chetu kiwe utendaji wetu…inashangaza tunaacha kuongoza tunafanya kazi za Nape Nauye, yeye atafanya kazi gani? “Ndiyo maana kunatokea matusi bungeni kwani badala ya sisi kufanya kazi za wananchi tunafanya kazi za watu...
  4. O

    Waziri Membe abanwa Atishia kujiuzulu, serikali yafunga mjadala, Chenge safi

    na PCCB wlikiri kuwa chenge akutaja mali zake kama SFO walivyosema
  5. O

    Waziri Membe abanwa Atishia kujiuzulu, serikali yafunga mjadala, Chenge safi

    fungua attachnment cheki nani mkweli, kikwete au SFO
  6. O

    Cv ya saed kubenea..

    hata kama unadndika habari za mtu1 tu kama ni za ukweli ni vizuri sana ingawa gazeti la juzi kulikuwa hakuna habari za lowasa
  7. O

    Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    "Our lives begin to end the day we become silent about things that matter"
  8. O

    Ni makosa makubwa kushinikiza Serikali - Dk Benson Bana

    Dr bana badilika ndugu, Hivi wewe Udaktari wako ni wa nini, unatumia macho na masikio gani? Nani amekupa kazi ya kutetea serikali wewe? unalipwa shillingi ngapi? je Una ndungu maskini huko vijijini? Tafakari na chukua hatua
Back
Top Bottom