Wakuu nahitaji nikopeshwe kwenye haya makampuni ya online,nimedownload app kadhaa na kuomba najaza taarifa zooote muhimu mwishowe naambiwa nisubiri baada ya nusu saa ntajibiwa halafu inakuwa holla..
Vipi wazoefu KAMPUNI ya uhakika ni ipi na nifanye je?
Dah ila kuna kitu kidoogo nimenote hapa toka kwa huyu bwana liver pool VPN,thatz why jamaa ndoa na biashara vimemshinda😅😅hebu imagine mtu anakunywa pombe week kweli,huyu si anapata hangover ya mwezi wakuu🤣
Huyu jamaa hata mimi nilitaka kuuliza mbona huu uzi wa mashtaka ya hv ushawahi postiwa miaka mingapi nyuma tena kopi and paste kbs,jamaa anafanya hv aidha adake mademu wakijua ana hela au kuwapiga watu😂😂👊
Utasikia,"SIO HIVYOO! UMENIUMIZA HIII!,INATOSHA BHANA! BADO TUU HUJAKOJOA! USINISHIKE HIVYO!.ni vikauli vinafanya mtu aishie goli moja au akashindwa kukojoa kabisa😂😂🙏🙏
KATIBA SURA YA PILI(SERIKALI) wanaohusika na mamlaka ya serikali ya jamuhuri ya muungano:
-raisi wa jamuhuri
-makamu wa jamuhuri
-raisi wa Zanzibar
-waziri mkuu wetu.
NA HIYO NDIYO PROTOKALI MAANA YAKE.BUT ZANZIBAR TUMEWAMEZA.ukichek hata kiulinzi,mkuu wa jeshi Zanzibar ana cheo cha brigedia...
Ipo hivi kunapokuwa na ongezeko la maofisa wenye vyeo bac ni kama thamani inashuka hv,mfano police zamani wakuu wa vituo vidogo unakuta ni STAff sergeant au koplo tuu wa kawaida,ila siku hz mkuu wa kituo kidogo ana nyota mpaka mbili,ma OCD wilaya nyingi wana ngao na nyota moja.msemaji wa jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.