Ingekua bunge la Afrika labda tungetishika. Walaya waache na Ulaya yao na sisi watuache kama tulivyo.
Hatutaki chokochoko zao. Mambo ya Libya na Iraq hatuyataki.
Mbona huyo Trumpet kilasiku anazingua huko kwao, anaachisha watu kazi kibabe tu. Kwahiyo human rights ni Africa tu.
Tutasimama na...
Alafu kijana inakuaje hadi mwaka wa 3 bado unatumia surname, binadamu tunatofautiana wahuni wanaweza kua wamekuotea kisha wakabadirisha password. We chamsingi fuata ushauri tulip kupatia.
Upo mwaka wa ngapi? Nenda ARIS pale library watakusaidia au department yako kwamtu anaehusika Na Aris atakusaidia. Ungekua CoNAS ningekueleza, Mimi mwenyew kipindi nilikumbwa na mikasa hiyo mwaka wa kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.