Ntikwite
Member
- May 13, 2017
- 94
- 54
Vp jamani second selection ya vyuo vya afya hazijatoka??na kama hazijatoka zinatoka lini??mwenye ronja tafazarNdo nmepata password zng saivi.ila naona sichaguliwa inabidi niapply upya
Vp jamani second selection ya vyuo vya afya hazijatoka??na kama hazijatoka zinatoka lini??mwenye ronja tafazarNdo nmepata password zng saivi.ila naona sichaguliwa inabidi niapply upya
Vp wadau mdogo wang kapata chuo cha ualimu, je kunauwezekano wa kubadili programme kutoka level 6 kwenda 7 chuo hichohicho
coz 4m6 ana D, D na B kwenye combi ya PCB
angaliaa profileee yakoo
Subiri dirisha lifunguliwe kila kitu kitakua poa, dirisha linafunguliwa tar 15 January.Habar wadau! Naomba kuuliza, nataka nifanye application ya Clinical Officer ngazi ya Diploma, sasa ni muda upi zuri wa kuanza kufanya application hiyo na hasa kwa Intake ya March/Apri kwa mwaka 2019?
Asante sanaSubiri dirisha lifunguliwe kila kitu kitakua poa, dirisha linafunguliwa tar 15 January.
Asante kwa taarifa mkuuSubiri dirisha lifunguliwe kila kitu kitakua poa, dirisha linafunguliwa tar 15 January.