Recent content by OBO5

  1. O

    Lori la Magufuli limekwama, Tulisukume

    lori la makinikia.
  2. O

    Zitto Kabwe: Nimeshtushwa na tukio la bomu kwenye ofisi ya Mawakili wa IMMMA Advocates

    Kufuatia kuchomwa kwa ofisis za IMMMA ADVOCATES anakofanya kazi Fatuma Karue, wakili msomi, mtoto wa rais wa kwanza wa zanzibar, Abeid Aman Karume, wakili wa Tundu Lissu kumeleta hisia za kisiasa miongoni mwa wananchi. Swali ni je upelelezi utabadili hisia hizi?
  3. O

    Lori la Magufuli limekwama, Tulisukume

    Tangu kuapishwa novemba 5 2015 suala la viwanda limekuwa ndoto za mchana. Kujifariji ikatangazwa kila vyerehani vinne ni kiwanda kidogo. Suala la kuhamia Dodoma nalo ni kigugumizi kila kukicha. Uwazi katika manunuzi pia ni kitendawili, wananunua ndege bila kutuambia bei yake kana kwamba ni...
  4. O

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Kwako, Mbunge wa Singida Masharaki, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa TLS na wakili msomi wa mahakama kuu na mahakama zilizo chini yake, anayehojiwa (soma shikiliwa) kituo cha polisi cha kati jijini Dar es Salaam, asalaam. Ndugu Lissu, wewe ni mzalendo sana kwa nchi yangu maana katika...
  5. O

    Ufaulu upi wa chuo cha Kitanzania ktk sheria utamruhusu mtu kudahiliwa masters (LLM) oxford, cambridge na havard?

    Napenda kufahamu ni ufaulu upi wa chuo cha Kitanzania katika tasnia ya sheria unaweza kumruhusu mtu kudahiliwa masters (LLM) katika vyuo bora vya sheria ulimwenguni kama oxford, Cambridge na havard. Vyuo vyetu napenda nichukue rejeo la shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam...
  6. O

    Hotuba yangu ya Agosti kwa Watanzania wote

    Kama unajihesabu uko smart kwa hotuba kama hii, basi huo usmart unaouongelea syo smart.
  7. O

    Official: Wimbo mpya ya Roma Mkatoliki - Zimbabwe

    Au na ww umetajwa nn teh teh teh
  8. O

    Ile dhana ya upinzani kufa Tanzania iko hai??

    Konda msaada tutani.
  9. O

    Ile dhana ya upinzani kufa Tanzania iko hai??

    Ila haujafa??
Back
Top Bottom