Kufuatia kuchomwa kwa ofisis za IMMMA ADVOCATES anakofanya kazi Fatuma Karue, wakili msomi, mtoto wa rais wa kwanza wa zanzibar, Abeid Aman Karume, wakili wa Tundu Lissu kumeleta hisia za kisiasa miongoni mwa wananchi.
Swali ni je upelelezi utabadili hisia hizi?
Tangu kuapishwa novemba 5 2015 suala la viwanda limekuwa ndoto za mchana. Kujifariji ikatangazwa kila vyerehani vinne ni kiwanda kidogo.
Suala la kuhamia Dodoma nalo ni kigugumizi kila kukicha.
Uwazi katika manunuzi pia ni kitendawili, wananunua ndege bila kutuambia bei yake kana kwamba ni...
Kwako,
Mbunge wa Singida Masharaki, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa TLS na wakili msomi wa mahakama kuu na mahakama zilizo chini yake, anayehojiwa (soma shikiliwa) kituo cha polisi cha kati jijini Dar es Salaam, asalaam.
Ndugu Lissu, wewe ni mzalendo sana kwa nchi yangu maana katika...
Napenda kufahamu ni ufaulu upi wa chuo cha Kitanzania katika tasnia ya sheria unaweza kumruhusu mtu kudahiliwa masters (LLM)
katika vyuo bora vya sheria ulimwenguni kama oxford, Cambridge na havard.
Vyuo vyetu napenda nichukue rejeo la shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.