Ng'ombe hilo hapa!!,kwani wew no mkenya.Hivi kwann waccm wanajiona wao maisha ni mazuri,wakati sie baadhi ya wanacdm tuna maisha bora sana kuliko hao wanaccm wanaosubili kofia na y shirt za ccm kwa miaka mi5
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha longolongo wewe lumumba
Usitumie wingi asee jisemee peke ako ndo unamuelewa wee jamaa VP bhanaUcha uji nga, una uhakika gani?, Muacheni rais wetu afanye kazi watanzania tunamuelewa vema.

Tusukume kwa nyuma au?Tangu kuapishwa novemba 5 2015 suala la viwanda limekuwa ndoto za mchana. Kujifariji ikatangazwa kila vyerehani vinne ni kiwanda kidogo.
Suala la kuhamia Dodoma nalo ni kigugumizi kila kukicha.
Uwazi katika manunuzi pia ni kitendawili, wananunua ndege bila kutuambia bei yake kana kwamba ni misaada.
Uongozi bora na utawala wa sheria ni mbingu na ardhi. Wanaamru mpaka SHILAWADU waonyeshe video gani.
Upigaji wa rambirambi za Kagera na zile za Gambo.
Hayo ni machache, kwa kuwa mkulu alisema yeye ni dereva wa lori ni wazi kuwa amelipitisha njia yenye tope. Lori hili limekwama tumsaidie kulisukuma.
Lakini hili lori limeshindwa kuondoka hata mvua haojanyesha.....
....shamba la maharage mvua ikikuta huko na fuso huchomoki
Samahani sijui ni mimi peke yangu? Sija wahi elewa unacho andika, nadhani unahitaji utulivu kidogo unapo taka kuwasilisha mawazo yakoMasuala ya utajiri sijui umasikini yameingiaje wa wanachama yanahusikaje? Wewe Cdm utakuta hata kadi huna kama wenzako wengi humu.. bali mnazo bado za CCM. Bora muende kuwaambia nyie bado wanachama ambao hata kwenye jukwaa hamjapanda kuikana chama kilichowakuza nacho ni CCM tena kipo kwenye ubora haswa awamu hii na kinazidi kupaa.
sema watanzania wa CHATO tunamwelewa vyemaUcha uji nga, una uhakika gani?, Muacheni rais wetu afanye kazi watanzania tunamuelewa vema.