Ila hii system yao hii n noma aisee cc tunaendelea tu kumsubir lubuva [emoji16][emoji16][emoji16]hapo n live kabisa hakuna haja ya lubuva
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwan Gwajima kataja bei au nyie ndo mmeestimate beii. . Jaman watanzania tucwe na roho mbaya kias hicho... Hiyo ndege ya Gwajima roho inawauma kwl yan... Watu wanataman hata icruhucwe kutua tz... Cjui mpoje wivuuuuuu wivuuuuuu kama nn...
Sent using Jamii Forums mobile app
Let me say something... Huu utawala umekaa kisiasa sana.. Kila kitu n siasa..... Na hii inachangiwa sana na mkuu tulienae watu wanafanya mambo kumfurahisha mkuu.. Bila hata kufikiria sana... Na hii inatokana na haya mambo ya kuteuliwa.. Hebu fikiria huyo boss wa tra kateuliwa...
Automatically...
Tundu lisu na michezo wap na wap....
Kuwe na uhuru wa bod kujichagulia yenyewe co kila kitu mpaka kiteuliwe na mwanasiasa
...
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Kwamfano leo waziri amemtumbua... Mwenyekit wa Baraza la michezo Tanzania.. BMT... inawezekana n jambo zuri. Lakini ebu tuangalie kwa upande mwingine... Anamtumbua mwenyekit wa BMT... Anamteua kada kuwa mwenyekit.. Sasa hapo utacfia nn....
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Ngoja tusubir kesho kutwa atuteulie mwenyekit wa BMT. naona ashatumbuliwa.... Nadhan watutuletea kada huko
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.