Kama ni mtalaam wa maswala ya kodi,,, hatunashaka naye,,, akafanye kama prof kabudi na wengineo wazuri,,,, ukisoma sana hunabudii kulitumikia taifa lako kwa uweredi wako wote,,, Tuliomba mawaziri na watendaji wakuu kuwa professional leo tunaponda hilo,, nchi hii wengi kama hatukulelewa na wazazi wetu,,,,Professa na uongozi wapi na wapi bana?
Sawa Luoga ni mtaalamu wa masuala ya kodi, lakini katika masuala ya uongozi nina mashaka nae sana.
Kama wewe bashi. Tee imekula kibande ya kwakoSijui ni nani aliyemdanganya huyu mkubwa kuwa maprofesa na madokta (PhD) ndio tu wanafaa kuwa viongozi na ndio engine ya maendeleo.
Sasa were ulitaka Wã elimu ya hapa na paleSijui ni nani aliyemdanganya huyu mkubwa kuwa maprofesa na madokta (PhD) ndio tu wanafaa kuwa viongozi na ndio engine ya maendeleo.
Zamu ya WagalatiaHii awamu ni ya Ma-Prof tuuu...
Halafu kule kwenye deen yetu hakuna Ma-prof...?
Atateuliwa Tundu Lisu ondoa shaka mkuu.Ngoja tusubir kesho kutwa atuteulie mwenyekit wa BMT. naona ashatumbuliwa.... Nadhan watutuletea kada huko
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Hivi Kitila anasimamia anachokiamini? AC ya kwenye V-8 Haijawahi muacha mtu salama.Saaafi, uteuzi wa ma prof ni mzuri, asilimia kubwa wanapenda kusimamia kile wanachokiamini, angekua anateua mafriend zake kama yule aliyetoka tungejaza wapiga dili kwenye serikali. Sasa tusipopata maendeleo tujue wasomi wetu elimu zao ni fake.