Natumaini haikuwa kwenye kibao cha 50,kama ni hvyo sasa mtu unatakiwa kutembea na speed ipi baada ya kuvuta kibao cha speed 50??maana Hawa wazaa nguo nyeupe na zile kofia zao siwaelewi
Kuna siku nasimamishwa na trafiki barabaran ananiambia niko speed sana na kulikuwa hmna kibao cha speed 50 nami nilikuwa speed around 120 hvi,nilihic labda kuna maelekezo mapya siyajui
Wakuu nahitaji ufafanuzi kidogo kuhusu hivi vibao vya speed barabarani.Mfano umeshamaliza kibao cha speed 50 baada ya hapo unatakiwa utembee na speed ngapi (Gari ndogo) maana mabasi najua yana ving'amuzi
Anaweza kulala njiani kiutani utani tu...maan ni juzi tu hapa natoka mwanza nakutana nayo njian imeharbika ikiwa ni saa tano asubuhi na sio mbali kutoka ofisi zao za Mwanza so wakashidwa hata kuwaletea abiria gari nyingine...waza sasa saa tano bado wako mwanza Dar waliingia lini
Iko hivyo maana huwa kuna malipo chuo inatakiwa walipe so wanafunzi ambao hawajalipia mitihani matokeo huwa hayaji kabisa hadi mwanafunzi alipie...Mkuu wa chuo anachosema yuko sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.