Recent content by obinae

  1. obinae

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Simiyu(Maswa) nije Pwani,Idara ya sekondari(Chemistry&Math)
  2. obinae

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Simiyu,Maswa(0743251125)
  3. obinae

    Ufafanuzi kuhusu speed High way

    Natumaini haikuwa kwenye kibao cha 50,kama ni hvyo sasa mtu unatakiwa kutembea na speed ipi baada ya kuvuta kibao cha speed 50??maana Hawa wazaa nguo nyeupe na zile kofia zao siwaelewi
  4. obinae

    Ufafanuzi kuhusu speed High way

    Khaaaaa eti mwendo umechangamka
  5. obinae

    Ufafanuzi kuhusu speed High way

    Sikutoa maan nilikuwa na askari mwenzao kwenye gari akaingilia show tukaondoka....nikawa tu najiuliza haya mambo ya niko speed sana yanatokea wapi???
  6. obinae

    Ufafanuzi kuhusu speed High way

    Kuna siku nasimamishwa na trafiki barabaran ananiambia niko speed sana na kulikuwa hmna kibao cha speed 50 nami nilikuwa speed around 120 hvi,nilihic labda kuna maelekezo mapya siyajui
  7. obinae

    Ufafanuzi kuhusu speed High way

    Wakuu nahitaji ufafanuzi kidogo kuhusu hivi vibao vya speed barabarani.Mfano umeshamaliza kibao cha speed 50 baada ya hapo unatakiwa utembee na speed ngapi (Gari ndogo) maana mabasi najua yana ving'amuzi
  8. obinae

    Kampuni gani bora za mabasi Dar kwenda Mwanza?

    Anaweza kulala njiani kiutani utani tu...maan ni juzi tu hapa natoka mwanza nakutana nayo njian imeharbika ikiwa ni saa tano asubuhi na sio mbali kutoka ofisi zao za Mwanza so wakashidwa hata kuwaletea abiria gari nyingine...waza sasa saa tano bado wako mwanza Dar waliingia lini
  9. obinae

    Kampuni gani bora za mabasi Dar kwenda Mwanza?

    Panda Ally's...Tungi ukabahatisha gari anayoendesha Rajabu utaenjoy sana hizo cjui Dar luxy utajuta
  10. obinae

    Walimu tubadilishane scheme of work kwa 2018

    Hizo sina mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. obinae

    Walimu tubadilishane scheme of work kwa 2018

    Anayetak za form 1-4...nicheki whatsap namba 0743251125 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. obinae

    Mawazo yenu jameni Hawezi kupata cheti?

    Iko hivyo maana huwa kuna malipo chuo inatakiwa walipe so wanafunzi ambao hawajalipia mitihani matokeo huwa hayaji kabisa hadi mwanafunzi alipie...Mkuu wa chuo anachosema yuko sahihi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. obinae

    Mathematics na Chemistry

    Poa mkuu...nimeshakucheki Sent using Jamii Forums mobile app
  14. obinae

    vipimo kujiunga na jeshi

    Mmmmh uzito sina uhakika kikubwa ni zile sifa za kishule/taaluma wanayoihitaji na umri
Back
Top Bottom