Baba wee mbeaa..Wanaangalia pia kama una marinda au hauna .
Unabinuka kidogo halafu tunakuambia kohoa .
Halafu sisi kazi yetu kuangalia tundu .tukiona
Hauna marinda tunakupa doso LA haja mzalendo
Unabeba begi lako kichwani unarudi kwenu
uzito kuanzia ngapi au huwa hawaizingatii sanaWanaangalia pia kama una marinda au hauna .
Unabinuka kidogo halafu tunakuambia kohoa .
Halafu sisi kazi yetu kuangalia tundu .tukiona
Hauna marinda tunakupa doso LA haja mzalendo
Unabeba begi lako kichwani unarudi kwenu
Kama wewe ni kibonge aka kipipa sahau jeshiuzito kuanzia ngapi au huwa hawaizingatii sana
asante kwa maelezo yakoKama wewe ni kibonge aka kipipa sahau jeshi
Ila kama una mwili wa kawaida tu uzito sio ishu
Kama hauja ngomahivi ni vipimo gani muhimu huangalia ili ujiunge na jeshi uzito wa mtu nao unamata sana
ila wapoMashoga jeshini hawatakiwi
Lazima upimwe potencehivi ni vipimo gani muhimu huangalia ili ujiunge na jeshi uzito wa mtu nao unamata sana
Ni kweliBaba wee mbeaa..
Mwache akakutane navyo huko huko ukimwambia hivyo ataona unamtania
ukifaulu vipimo vyote uzito ukawa mdogo hawakuchukui kwani..maana nasikia unatakiwa kuwa na kilo kuanzia 50Una kilo 50 ukienda kozi unabaki na 45 au 40
Hivi unaweza kubeba silaha ya kg 4 au LMG ya kg 7
Kujua uzito muhim
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi ni vipimo gani muhimu huangalia ili ujiunge na jeshi uzito wa mtu nao unamata sana
sawa mkuuAchana na yote hayo kama unaweza Kukimbia Uwanja ule wa Taifa ( kwa Mchina ) raundi 35 kwa Spidi ya Mwanariadha Bingwa wa dunia Usain Bolt na ukazimaliza na hata ukiambiwa uunganishe zingine kama 13 hivi ukaenda tena na ukawaongezea na zako binafsi 9 basi Ajira Kwako ' Ujedani / Jeshini ' huko iko wazi na umeula Mkuu zaidi ya hapo usipoteze muda wako na endelea tu Kuuza zao Matikiti na Supu ya Pweza hapo ulipo.